Tetesi ya kibabe: Katavi kimewaka inasemekana Mkuu wa kituo kachezea kichapo Cha mbwa koko

Tetesi ya kibabe: Katavi kimewaka inasemekana Mkuu wa kituo kachezea kichapo Cha mbwa koko

Sijapenda wananchi hao kufanya hicho kitendo, huo ni utovu wa nidhamu na ni uvunjifu wa sheria za nchi. Hebu fikiria polisi nao waamue kujibu mapigo itakuaje?
 
Sijapenda wananchi hao kufanya hicho kitendo, huo ni utovu wa nidhamu na ni uvunjivu wa sheria za nchi. Hebu fikiria polisi nao waamue kujibu mapigo itakuaje?
Malipo ni hapahapa duniani
Action and reaction are eaqual and opposite
 
Kasongo mbona wewoo, mobali Nangaa, habari za tetesi huko Katavi inasemekana hivyo Mkuu wa kituo cha POLICE kapigwa kama zote na wananchi wenye hasira Kali na machungu kama yote.

Baada ya uthibisho neno tetesi litaondoka.

Habari ndio hivyo

Pang Fung Mi
Muongo! Najua unataka kutuletea habari za huko za X za uongo? Picha ni ya South Afrika. Kawadanganye nyumbu wenzako huko X.
 
Sijapenda wananchi hao kufanya hicho kitendo, huo ni utovu wa nidhamu na ni uvunjivu wa sheria za nchi. Hebu fikiria polisi nao waamue kujibu mapigo itakuaje?
Hakuna kitu kama hicho ni uongo tu wa Maria huko X
 
Kasongo mbona wewoo, mobali Nangaa, habari za tetesi huko Katavi inasemekana hivyo Mkuu wa kituo cha POLICE kapigwa kama zote na wananchi wenye hasira Kali na machungu kama yote.

Baada ya uthibisho neno tetesi litaondoka.

Habari ndio hivyo

Pang Fung Mi
Mam.. ana upiga mwingi😃
 
Ikithibiti ni kweli
basi tuwatumie nauli ndugu zetu waondoke hapo mara moja
PIRA LITAVURUMISHWA VIBAYA MNO HAPO
 
Taratibu kwa kasi Wananchi wanarudisha mamlaka mikononi mwao yaliyoporwa na utawala dhalimu wa serikali ya chama dola kongwe ya kibaguzi inayotumia mamlaka zake vibaya kupitia matumizi haramu ya vyombo vya usalama.
 
Toka Maktaba :
June 2024
Katavi, Tanzania.

Ya Edgar EdsonMwakalebela Sativa aliyeokotwa porini Katavi msitu wa Mlela walisema hivi, taarifa rasmi ya Polisi mkoa wa Katavi ...


View: https://m.youtube.com/watch?v=UBmnNL2qxJU
Kamanda wa polisi mkoa wa Katavi RPC Kaster Ngonyani alisema kuwa Mwakalebela kajeruhiwa kidogo tu, na kuwa Sativa majeraha yake siyo ya kutisha ....lakini tumemuona yupo hospitali

Kamanda RPC alipogumza kwa njia ya simu kutoka Mpanda mkoa wa Katavi nchini Tanzania kuzungumzia kutekwa kwa Sativa
1733941118505.jpeg
 
Sijapenda wananchi hao kufanya hicho kitendo, huo ni utovu wa nidhamu na ni uvunjifu wa sheria za nchi. Hebu fikiria polisi nao waamue kujibu mapigo itakuaje?
Hujampenda kwakuwa ww ni mnyanyasaji
 
NITOE PONGEZI NILISHAWAAMBIA USHENZI WA POLICE WAPELEKE DAR ES SALAAM kwingine watauawa nimeshuhudia ni safi sana...
 
Kuna polisi aliwahipigwa na moko( ile ya kuchimbia dhahabu).

No vile tu watanzania tunawastahi. Ila wap wanaona tunawaogopa wanatuona mbuzii
 
Kasongo mbona wewoo, mobali Nangaa, habari za tetesi huko Katavi inasemekana hivyo Mkuu wa kituo cha POLICE kapigwa kama zote na wananchi wenye hasira Kali na machungu kama yote.

Baada ya uthibisho neno tetesi litaondoka.

Habari ndio hivyo

Pang Fung Mi
Hii picha ni kama nilishaiona miezi ya huko nyuma, labda kama niliona picha inayofanana na hii.
 
Kasongo mbona wewoo, mobali Nangaa, habari za tetesi huko Katavi inasemekana hivyo Mkuu wa kituo cha POLICE kapigwa kama zote na wananchi wenye hasira Kali na machungu kama yote.

Baada ya uthibisho neno tetesi litaondoka.

Habari ndio hivyo

Pang Fung Mi
KIMEUMANAAAAA
 
Back
Top Bottom