Tetesi za chini chini zilizonifikia muda si punde zinasema......

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yule Msemaji Mkorofi na mwenye sifa na majigambo wa Klabu moja Kesho anategemewa kuhukumiwa Kifungo cha kati ya mwaka mmoja ( 1 ) hadi mitatu ( 3 ) ila uwezekano wa kufungiwa kutojihusisha na masuala ya Michezo kwa miaka mitatu ( 3 ) ni mkubwa nikimaanisha 100%.

Akhsante sana TFF japo kitendo hiki au hatua hii kwa wenye kuzingatia nidhamu ya Soka na Maadili yake tunaona kama vile mmechelewa ila kuna kauli ya Waingereza isemayo " better late than never " hivyo basi tunawashukuru kwa hilo.

Wanamichezo wote bila kujali wa Mnyama mnyamani ( Msimbazi ) au wa Chura churani ( Jangwani ) tumelipokea na hiyo Kesho mkishampa Mtu discipline yake mtakuwa mmetufurahisha na kuanzia sasa tutakuwa sasa tunaanza kurudisha imani yetu kwenu.

Jioni njema / Usiku mwema.
 
Yaani hukumu imeshapangwa...???
 
atapigwa miezi nane kutojihusisha na soka alizidi kupiga domo sana afu alivyo na kiburi kesho baada ya hukumu anaweza akaongea boko lingine
 
Malinzi anahali ngumu sana kupata second term ya uongozi pale TFF.. Nakumbuka kuna siku alihamishia ofisi TFF pale PPF towers
 
Malinzi anahali ngumu sana kupata second term ya uongozi pale TFF.. Nakumbuka kuna siku alihamishia ofisi TFF pale PPF towers
Akaja akaamuriwa kurejea karume, jamaa ana ubabe wa kipumbavu sana.
 
Ngoja tusikie hiyo hukumu inavipengele gani na ina uhalali wa kiasi gani ........ mana wao sio ndio ngazi ya mwisho ya maamuzi.
 
this game needs no angry, mechi moja tu washapanik
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…