Tetesi za chini chini zilizonifikia muda si punde zinasema......

Yupi Huyo? Au yule Chiriku wa ile Klabu kubwa iliyofungwa juzi inayoongozwa Na Mh.Diwani?
 
Hatimaye ile kesi iliyokua ikimkabili Muro ambaye ni msemaji wa Yanga, imetupiliwa mbali na kamati ya maadili ya tff kwa kuwa barua ya vitisho aliyoandikiwa Muro ilikua na mapungufu.

Safi sana Manji. Mwaka huu mpaka malinzi anye rungu.
 
Kweli simba mambulumundu yaani mtuu mmoja tuu anakosesha usingizi miaka 2???
 
Hatimaye ile kesi iliyokua ikimkabili Muro ambaye ni msemaji wa Yanga, imetupiliwa mbali na kamati ya maadili ya tff kwa kuwa barua ya vitisho aliyoandikiwa Muro ilikua na mapungufu.

Safi sana Manji. Mwaka huu mpaka malinzi anye rungu.

....tulia wewe!, hiyo barua ina mapungufu, haikuonesha ni kamati gani iliyomuita kwa ajili ya kumuhoji,so wakirekebisha hilo,Muro lazima apande kizimbani na domo lake!
 
Thubutuu labda malinzi hajatoka Jangwani
 
....tulia wewe!, hiyo barua ina mapungufu, haikuonesha ni kamati gani iliyomuita kwa ajili ya kumuhoji,so wakirekebisha hilo,Muro lazima apande kizimbani na domo lake!
Basi mpambano kumbe bado unaendelea...
 
gents katika ubora Wako WA uongo
 
Kweli simba mambulumundu yaani mtuu mmoja tuu anakosesha usingizi miaka 2???
sijui kosa la Yanga ni lipi mpaka simba wanawehuka na kuacha kufanya yao....jamaa wana wivu wa kike aiseeee
 
Muongo huyooo kec imefutwa hiyooooo wa mchangan mnafurah nyie ay kisa anaongea juu yenu na ndio maana ya watani Wa jadi mxikimbie kawaida xana muro ndan ya mjengo
 
Tifu Tifu Bwana na watu wao HAPA jf na HOJA dhaifu ! BARUA moja ANUANI SITA .
 
Ulijiona mtabiri kama pweza ujerumani katabiri issue za skuri vat mambo ya mpira tena yanga utfell
 
kufungiwa kwa msemaji wetu hakitawatoa nyie kimchezo acha wivu Nyiye wamatopeni tu !!!! panga mipango ya mafanikio kwako so umbeya upon!!??
 
Angalia kwenye vifua vya wachezaji wa Yanga, naona wamepata mdhamini mpya. Hivi ni lini Yanga iliingia mkataba na Quality Group? Je kuna mkataba kati ya Yanga na Quality Group au ndo vileee?



Hata kama asipotaja kiasi gani ameleta kwa kudhamini kifua cha jezi. Huyu jamaa ametoa pesa nyingi sana kwenye mfuko wa Klabu.

Mchango wake haupimiki kwa tangazo la kifua.

Kama mnamchukia anavyo iunga mkono Yanga, basi download nyimbo ya snura muanze kudensi mwana wane. [emoji23][emoji23]
 
Ngoja tusikie hiyo hukumu inavipengele gani na ina uhalali wa kiasi gani ........ mana wao sio ndio ngazi ya mwisho ya maamuzi.
Mimi taarifa ya kufungiwa tu inanitosha, sina hata haja ya kuona vipengele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…