Jamani eeeeee hatareeeeeee...
Hizi ni zakunyapia nyapia kumbe makanisa ya kiroho yawatu binafsi aka mali za watumishi kumbe sadaka hazikai bank nakile tunakiona bank nikidunchu yakile wanacho kwa maandaki...
Jamani mtonyo huu umezuwa maswali siku chache baada ya kikundi xz kujichimbia mahali kufuwatilia kile kinaendelea kitendo cha makanisa ya kiroho kufungia pesa kwenye mashimo ni dhahiri kuwa wanaweza kuhukumiwa na kosa La Aml yanisheria yautakatishaji pesa....
Why wanazichimbia pesa chini na nikwasababu gani...
Ndio maana mahekalu yao na majumba yao yanalindwa kwa ulinzi mkali kumbe ni kufunika kile wanakifanya mmoja kafunguwa bank lakini kisa cha kufunguwa bank aanajuwa mwenyewe....kila muhumini awe na akaunt pale ili amoniter pesa zao yani wewe Mungu utawachoma watu moto kwa nyukilia... Mungu baba....
Makelele tunasikia ni stail mpya ya kuhakikisha watu hawatakatishi fedha sas haya makanisa yanahisi kiama chao kinakuja...
Kulikuwa na watu wanaingiza dola kinyemela nchini nakuzibadilisha on black market Magu amesha unyaka mtandao...
Wakati wanasema Magu atubu kumbe wanamanisha wao watubu.....
Tetesi hizi zitasababisha mahandaki yaliokuwepo makanisani na nyumba za watumishi kukimbiza pesa hizo...
Nashauri Tiss wapige kambi 24 hrs ktk majumba hayo wasikimbie mkono wa sheria, pia mbwa maalumu watumike kufanya huo msako mtagunduwa mazito... tumegunduwa janja yao nasasa niwakati wa Mungu kujichukulia ushindi...
Hizi ni zakunyapia nyapia kumbe makanisa ya kiroho yawatu binafsi aka mali za watumishi kumbe sadaka hazikai bank nakile tunakiona bank nikidunchu yakile wanacho kwa maandaki...
Jamani mtonyo huu umezuwa maswali siku chache baada ya kikundi xz kujichimbia mahali kufuwatilia kile kinaendelea kitendo cha makanisa ya kiroho kufungia pesa kwenye mashimo ni dhahiri kuwa wanaweza kuhukumiwa na kosa La Aml yanisheria yautakatishaji pesa....
Why wanazichimbia pesa chini na nikwasababu gani...
Ndio maana mahekalu yao na majumba yao yanalindwa kwa ulinzi mkali kumbe ni kufunika kile wanakifanya mmoja kafunguwa bank lakini kisa cha kufunguwa bank aanajuwa mwenyewe....kila muhumini awe na akaunt pale ili amoniter pesa zao yani wewe Mungu utawachoma watu moto kwa nyukilia... Mungu baba....
Makelele tunasikia ni stail mpya ya kuhakikisha watu hawatakatishi fedha sas haya makanisa yanahisi kiama chao kinakuja...
Kulikuwa na watu wanaingiza dola kinyemela nchini nakuzibadilisha on black market Magu amesha unyaka mtandao...
Wakati wanasema Magu atubu kumbe wanamanisha wao watubu.....
Tetesi hizi zitasababisha mahandaki yaliokuwepo makanisani na nyumba za watumishi kukimbiza pesa hizo...
Nashauri Tiss wapige kambi 24 hrs ktk majumba hayo wasikimbie mkono wa sheria, pia mbwa maalumu watumike kufanya huo msako mtagunduwa mazito... tumegunduwa janja yao nasasa niwakati wa Mungu kujichukulia ushindi...