Tetesi: Tetesi za Mahandaki ya fedha kwenye nyumba za ibada&majumba yawatumishi

Tetesi: Tetesi za Mahandaki ya fedha kwenye nyumba za ibada&majumba yawatumishi

Nchi yangu Tanzania umemkosea nini Mola mbona kuna viumbe vya ajabu namna hii kama mleta uzi huu? God have mercy on us pliz
 
Jamani eeeeee hatareeeeeee...
Hizi ni zakunyapia nyapia kumbe makanisa ya kiroho yawatu binafsi aka mali za watumishi kumbe sadaka hazikai bank nakile tunakiona bank nikidunchu yakile wanacho kwa maandaki...
Jamani mtonyo huu umezuwa maswali siku chache baada ya kikundi xz kujichimbia mahali kufuwatilia kile kinaendelea kitendo cha makanisa ya kiroho kufungia pesa kwenye mashimo ni dhahiri kuwa wanaweza kuhukumiwa na kosa La Aml yanisheria yautakatishaji pesa....
Why wanazichimbia pesa chini na nikwasababu gani...
Ndio maana mahekalu yao na majumba yao yanalindwa kwa ulinzi mkali kumbe ni kufunika kile wanakifanya mmoja kafunguwa bank lakini kisa cha kufunguwa bank aanajuwa mwenyewe....kila muhumini awe na akaunt pale ili amoniter pesa zao yani wewe Mungu utawachoma watu moto kwa nyukilia... Mungu baba....
Makelele tunasikia ni stail mpya ya kuhakikisha watu hawatakatishi fedha sas haya makanisa yanahisi kiama chao kinakuja...
Kulikuwa na watu wanaingiza dola kinyemela nchini nakuzibadilisha on black market Magu amesha unyaka mtandao...
Wakati wanasema Magu atubu kumbe wanamanisha wao watubu.....
Mtayabomoa kwa kigezo eti yana mahandaki ya fedha?
 
Akiri kama izi za mtoa post hazina tofauti na wale wenye akiri finyu kufukua mashimo kwenye makazi ya waliokuwa wazungu wakoloni kuna pesa/dhahabu imefukiwa
 
Kwani kama sadaka ni nyingi kiasi hicho ww unatoa kiasi gani? Inabidi utubu sh yako 500 itakuwa ya kucbimia chini?
 
Jamani eeeeee hatareeeeeee...
Hizi ni zakunyapia nyapia kumbe makanisa ya kiroho yawatu binafsi aka mali za watumishi kumbe sadaka hazikai bank nakile tunakiona bank nikidunchu yakile wanacho kwa maandaki...
Jamani mtonyo huu umezuwa maswali siku chache baada ya kikundi xz kujichimbia mahali kufuwatilia kile kinaendelea kitendo cha makanisa ya kiroho kufungia pesa kwenye mashimo ni dhahiri kuwa wanaweza kuhukumiwa na kosa La Aml yanisheria yautakatishaji pesa....
Why wanazichimbia pesa chini na nikwasababu gani...
Ndio maana mahekalu yao na majumba yao yanalindwa kwa ulinzi mkali kumbe ni kufunika kile wanakifanya mmoja kafunguwa bank lakini kisa cha kufunguwa bank aanajuwa mwenyewe....kila muhumini awe na akaunt pale ili amoniter pesa zao yani wewe Mungu utawachoma watu moto kwa nyukilia... Mungu baba....
Makelele tunasikia ni stail mpya ya kuhakikisha watu hawatakatishi fedha sas haya makanisa yanahisi kiama chao kinakuja...
Kulikuwa na watu wanaingiza dola kinyemela nchini nakuzibadilisha on black market Magu amesha unyaka mtandao...
Wakati wanasema Magu atubu kumbe wanamanisha wao watubu.....
Manina zako..! Mpinga Kristo mkubwa wewe..!
 
Mtu akiambiwa ana chawa kaonekana kwenye nguo zake ndo hujifanya anajipapasa, wakati yeye mwenyewe ajijua ni mchafu.
 
Jamani eeeeee hatareeeeeee...
Hizi ni zakunyapia nyapia kumbe makanisa ya kiroho yawatu binafsi aka mali za watumishi kumbe sadaka hazikai bank nakile tunakiona bank nikidunchu yakile wanacho kwa maandaki...
Jamani mtonyo huu umezuwa maswali siku chache baada ya kikundi xz kujichimbia mahali kufuwatilia kile kinaendelea kitendo cha makanisa ya kiroho kufungia pesa kwenye mashimo ni dhahiri kuwa wanaweza kuhukumiwa na kosa La Aml yanisheria yautakatishaji pesa....
Why wanazichimbia pesa chini na nikwasababu gani...
Ndio maana mahekalu yao na majumba yao yanalindwa kwa ulinzi mkali kumbe ni kufunika kile wanakifanya mmoja kafunguwa bank lakini kisa cha kufunguwa bank aanajuwa mwenyewe....kila muhumini awe na akaunt pale ili amoniter pesa zao yani wewe Mungu utawachoma watu moto kwa nyukilia... Mungu baba....
Makelele tunasikia ni stail mpya ya kuhakikisha watu hawatakatishi fedha sas haya makanisa yanahisi kiama chao kinakuja...
Kulikuwa na watu wanaingiza dola kinyemela nchini nakuzibadilisha on black market Magu amesha unyaka mtandao...
Wakati wanasema Magu atubu kumbe wanamanisha wao watubu.....
Tutakapo tangaziwa kuwa sarafu zetu zinabadilishwa na tunapewa siku 90 kufanya hivyo na katika kubadilisha huko siyo zaidi ya mil10 kwa mtu mmoja patakuwa na vioja kweli kweli . Ninaamini siku hii haiko mbali maana kwa wale ambao wametoa pesa zao kwenye mzunguko kwa kuzificha nyumbani wanaharibu uchumi
 
Mleta uzi,unampango wa kutaka waanze kuleta usumbufu kwenye makanisa.
 
Mm binafsi naona makanisa ndio yanayosababisha pesa mitaani kupotea.

Waumini wanajipinda wanatoa sadaka, zaka, na michango mbalimbali...hizi dini huogopa kuweka pesa zao bank kwakuwa watagundulika hivyo huamua kukaa nazo madhabauni....pesa zinakalishwa hazizalishi huku mtaani kunazidi kauka. Hizi dini na makanisa yangehimizwa pesa ziwekwe bank ili wwngine wazitumie. Tunaishia kumlaumu Rais wakati wachawi ni sisi wenyewe na kukumbatia Bomu.

Mahekalu yanasababisha pesa kupotea mitaani.
Am out!!
 
Inawezekana hata Mama Lwakatare wa CCM ana handaki lake
 
Back
Top Bottom