Tetesi: Tetesi za Mahandaki ya fedha kwenye nyumba za ibada&majumba yawatumishi

Nchi yangu Tanzania umemkosea nini Mola mbona kuna viumbe vya ajabu namna hii kama mleta uzi huu? God have mercy on us pliz
 
Mtayabomoa kwa kigezo eti yana mahandaki ya fedha?
 
Akiri kama izi za mtoa post hazina tofauti na wale wenye akiri finyu kufukua mashimo kwenye makazi ya waliokuwa wazungu wakoloni kuna pesa/dhahabu imefukiwa
 
Kwani kama sadaka ni nyingi kiasi hicho ww unatoa kiasi gani? Inabidi utubu sh yako 500 itakuwa ya kucbimia chini?
 
Manina zako..! Mpinga Kristo mkubwa wewe..!
 
Mtu akiambiwa ana chawa kaonekana kwenye nguo zake ndo hujifanya anajipapasa, wakati yeye mwenyewe ajijua ni mchafu.
 
Tutakapo tangaziwa kuwa sarafu zetu zinabadilishwa na tunapewa siku 90 kufanya hivyo na katika kubadilisha huko siyo zaidi ya mil10 kwa mtu mmoja patakuwa na vioja kweli kweli . Ninaamini siku hii haiko mbali maana kwa wale ambao wametoa pesa zao kwenye mzunguko kwa kuzificha nyumbani wanaharibu uchumi
 
Mleta uzi,unampango wa kutaka waanze kuleta usumbufu kwenye makanisa.
 
Mm binafsi naona makanisa ndio yanayosababisha pesa mitaani kupotea.

Waumini wanajipinda wanatoa sadaka, zaka, na michango mbalimbali...hizi dini huogopa kuweka pesa zao bank kwakuwa watagundulika hivyo huamua kukaa nazo madhabauni....pesa zinakalishwa hazizalishi huku mtaani kunazidi kauka. Hizi dini na makanisa yangehimizwa pesa ziwekwe bank ili wwngine wazitumie. Tunaishia kumlaumu Rais wakati wachawi ni sisi wenyewe na kukumbatia Bomu.

Mahekalu yanasababisha pesa kupotea mitaani.
Am out!!
 
Inawezekana hata Mama Lwakatare wa CCM ana handaki lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…