Tetesi za penzi jipya la Irene Uwoya na Dogo Janja zawa gumzo mtandaoni

Tetesi za penzi jipya la Irene Uwoya na Dogo Janja zawa gumzo mtandaoni

Binadamu akishabaleghe,viungo vya uzazi vinakuwa tayari kumuhudumia binadamu yeyeto yule,na ndo maana utaona kibinti cha miaka 18 kinaolewa na mzee wa miaka 55 na shughuli inafanyika bila tatizo kwa sababu kipindi cha baleghe viungo vya uzazi vinatanuka na kukua kwa kasi,usishangae dogo janja akawa na dushe kubwa kuliko mwanaume mwenye miaka 60,hahahaha.Hivi diamond na zari wamepishana miaka mingapi?
[emoji38] [emoji38][emoji85] mzee tola bana!
 
Anaweza akawa dogo, Lakini akawa anamridhisha kuliko hao wakubwa.
Penzi halichagui umri

Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]
 
Umalaya umekuwa fasheni kwa bongo muvi
Muvi kwisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Madanga kipindi hiki yamekua adimu so inabidi wabongo movie wajiangushe kwa madogo tuu
 
Kwa nini asiolewe huyo dada anahangaika leo huku kesho kule,atazeeka akitanga tanga tu
 
Janjaro umeamua kuogeleaaaa kabsaaa

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Back
Top Bottom