BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
Waitoe tu na Jobe piaYeah. Wasiwasi uliopo ni thank you ya Babakar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waitoe tu na Jobe piaYeah. Wasiwasi uliopo ni thank you ya Babakar.
Aende tu naeYeah. Wasiwasi uliopo ni thank you ya Babakar.
Ili kuepusha usumbufu Tff na Caf watupe makombe yetuBeki wa Ivory Coast tayari
Beki wa kushoto wa kimataifa tayari
Mpanzu tayari.
Kagoma tayari
Kanoute abaki babacar bye byeHadi Sasa Simba ina wachezaji wa kigeni wafuatao:
1. Ayoub Lakred
2. Nourmah
3. Malone Fondoh
4. Chernou Kaboue
5. Augustine Okejepha
6. Jean Ahour
7. Steven Mukwala
8. Joshua Mutale
9. Elie Mpanzu
10. Fabrice Ngoma
11. Freddy Michael
12. Saido Kanoute
13.Babakar Sarr
14. Pa Omar Jobe
15. Aubin Kramo
16. Mosses Phiri
N.B: Jobe ataondoka, Phiri aataondoka, Kramo ataondoka, Babacar au Kanoute mmojawapo ataondoka
Tutajua kufikia J2Kanoute abaki babacar bye bye
Wanatakiwa wakigeni wasizidi wangapi?Hadi Sasa Simba ina wachezaji wa kigeni wafuatao:
1. Ayoub Lakred
2. Nourmah
3. Malone Fondoh
4. Chernou Kaboue
5. Augustine Okejepha
6. Jean Ahour
7. Steven Mukwala
8. Joshua Mutale
9. Elie Mpanzu
10. Fabrice Ngoma
11. Freddy Michael
12. Saido Kanoute
13.Babakar Sarr
14. Pa Omar Jobe
15. Aubin Kramo
16. Mosses Phiri
N.B: Jobe ataondoka, Phiri aataondoka, Kramo ataondoka, Babacar au Kanoute mmojawapo ataondoka
12Wanatakiwa wakigeni wasizidi wangapi?
Wote Kanoute na Babacarr wanaondoka kumpisha Deborah FernandozyHadi Sasa Simba ina wachezaji wa kigeni wafuatao:
1. Ayoub Lakred
2. Nourmah
3. Malone Fondoh
4. Chernou Kaboue
5. Augustine Okejepha
6. Jean Ahour
7. Steven Mukwala
8. Joshua Mutale
9. Elie Mpanzu
10. Fabrice Ngoma
11. Freddy Michael
12. Saido Kanoute
13.Babakar Sarr
14. Pa Omar Jobe
15. Aubin Kramo
16. Mosses Phiri
N.B: Jobe ataondoka, Phiri aataondoka, Kramo ataondoka, Babacar au Kanoute mmojawapo ataondoka
Roho mbaya hatukuzaliwa nazo, ni nyinyi walimwengu ndio mulio tufunza.Acheni roho mbaya na uchawi.
Inaonekana ndani kuna ukame wa wachezaji wazuri
Simeni ukweli tu hamuna pesa ya kumsajili Fasika, hayo mambo ya kufeli vipimo ni kujitekenya kisha unacheka mwenyewe!Idumba Fasika hatajiunga n Simba SC baada ya kufeli vipimo vya afya
Kama wanaona tabu kutupa kombe, basi wabadili kanuni kumuingiza Mnyama CACLIli kuepusha usumbufu Tff na Caf watupe makombe yetu
Nibonyeze ngapi kupata vichekesho kama hivi?Ili kuepusha usumbufu Tff na Caf watupe makombe yetu
HakikaInaonekana ndani kuna ukame wa wachezaji wazuri
Siongei habari za vilabuni wala vijiwe vya kahawa bro! Najua ninachokisemaSimeni ukweli tu hamuna pesa ya kumsajili Fasika, hayo mambo ya kufeli vipimo ni kujitekenya kisha unacheka mwenyewe!
Fasika alipata ACL tear akakaa nje kwa msimu mzima tangu October 2022 hadi June 2023 alipopona walimtoa kwa Mkopo Norway akapata injury nyingine huko huwezi kusajili mchezaji wa namna hiyo.Simeni ukweli tu hamuna pesa ya kumsajili Fasika, hayo mambo ya kufeli vipimo ni kujitekenya kisha unacheka mwenyewe!
Uko sahihi broFasika alipata ACL tear akakaa nje kwa msimu mzima tangu October 2022 hadi June 2023 alipopona walimtoa kwa Mkopo Norway akapata injury nyingine huko huwezi kusajili mchezaji wa namna hiyo.
Kabla ya injury Cape Town City walikuwa wanamuuza kwa Dollar 800k