Tetesi za uwepo wa Makanisa ya kitapeli na vile yanawatapeli Watanzania inatisha sana

we ungesema tu huyo nabii misukule ni gwajima akiwa pale ubungo kwani nani hajui.?

hawa manabii walimfanya mtoto wa dingi mkubwa akafa akiwa kapuku wakat kabla ya kuchangamana na nabii alikuwa ni mtu na maisha yake saf kabisa.
Ilikuaje mpaka wakapiga hela.
 
Bwege wewe Mimi kuhusisha wavaa magauni ndio wewe imekuuma au endelea kuvaa gauni boya wewe
 
Kwanini kama umegundua usiachane nao unataka mpaka usaidiwe. Ninyi ndio mnaenda kanisani kustarehe badala ya kusoma neno la Mungu.
 
Wezi tu hawa na wanaungwa mkono na vigogo serikalini

Ova
 
Sitotaja hilo kanisa kwasababu zakousalama na pia hasa ukizingatia Mungu anataka fanya yake muda sio mrefu.
Ndio, Mungu atafanya yake muda Si mrefu.

Pia kuhusu misukule kurudisha,

Tangu tukiwa WADOGO, waganga na misukule korofi imewahi rudishwa duniani tukishuhudia Kwa macho ya nyama, na haikuwa haikuwa maigizo.

Sasa Waganga wa kienyeji waeze kurudisha misukule, Mungu muumba wa Mbingu na Nchi kupitia watumishi wake wa kweli, ashindweje.🤔
 
Nadhani ni kweli wanawake wanatekwa kirahisi na hao manabii wajasiriamali, ila kama unadhani wanaintelijensia wa TISS na polisi wanaweza kusaidia kuepesha hilo, unasahau kuwa kwenye vitengo hivyo kuna wanawake ambao pia nao ni wahanga. Imani si suala tata ndugu
 
Watu hawasiki hawakomi
Na hao mitume wako nyuma ya
Viongozi wa kisiasa,viongozi serikalini wanawalinda

Wajinga waliwaooo

Ova
Makanisa haya ya mitume na manabii haya yote feki haya na haya ya vijana wa hovuo hovyo hovyo sijui weka verse mi nitaomba hawa wa mitandaoni wote wapigaji, usiende huko
 
Hivi watu wanapokwenda kwenye Imani yoyote ile wanataka nini ? (Kama ni Hope, Feel Good Factor na Kutibu Roho zao) basi all the best...

Sababu ukisema hawa ni matapeli naweza kutumia logic ile ile na nikakwambia hata hizo Imani nyingine zote ni Utapeli (Tena nyingine unakuwa indoctrinated tangia mtoto na wala hutakiwa kuhoji sababu ukifanya hivyo unaambiwa unakufuru)

To each their Own...
 
 
Kuna mmoja huwa anahubiria hapo kituoni Riverside Ubungo kila asubuh na imagine anapewa na sadaka. UJINGA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…