ngoja, hivi mnaitaje, seismologists wajeNimehisi tetemeko la ardhi muda Huu kwa muda wa takribani sekunde tatu…naripoti kutoka tabora
ukitukanwa usilielie maana umeanza weweSi ulanzi umeingia kichwani.
Dogo sana hili halina uzito wowote tofauti hata na yale ya Manyara.Nimehisi tetemeko la ardhi muda Huu kwa muda wa takribani sekunde tatu…naripoti kutoka tabora
Huenda ni vibration ya simu yako mfukoni.Nimehisi tetemeko la ardhi muda Huu kwa muda wa takribani sekunde tatu…naripoti kutoka tabora
Acheni kula viporo vya kande iliyochacha.Ni kweli mdau
Tabora eneo ganiNimehisi tetemeko la ardhi muda Huu kwa muda wa takribani sekunde tatu…naripoti kutoka tabora
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kuna watu wakorofi sana aiseeAcheni kula viporo vya kande iliyochacha.