Najua Teuzi mpya zimeanzia kwa Wakuu wa Wilaya
Bado Wakuu wa mikoa, Makatibu Wakuu, Mawaziri nk
Kwa hii trend humo kwenye njia panda mabarabarani na kwenye Maji na viwanja vya Ndege ni Heri zoezi la Teuzi likamilishwe ili maisha ya kawaida yaendelee
Kwaresma njema!