Texas Marekani wazungu wawapigia magoti weusi na kuwaomba radhi ya ubaguzi waliowafanyia miaka mingi

Texas Marekani wazungu wawapigia magoti weusi na kuwaomba radhi ya ubaguzi waliowafanyia miaka mingi

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Hulo Texas Marekani wazungu wafanya maombi ya toba na msamaha kwa Mungu na watu weusi wasamehewe kwa ubaguzi wa rangi, chuki na unyanyasaji waliowafanyia kwa miaka mingi.

 
Huo ndio mwisho wa Covid-19. Bado China hawajatubia juu ya utesaji wanyama.
 
Huu Ubaguzi hauwezi kuwaacha salama hata mara moja na bado wanaendeleza maigizo.
 
Daaaa! Mkuu Video hii lazima itatufanya tulie Blacks walio wengi wengi, Duniani, ina maana lazima tuwasamehe, wametubu ..Mungu asije akatugeuzia kibao Daaa! '' we honour dem? we welcome dem in our circle!!! who are we? Moderator tafadhari Ifute bana tutalia sana! niko hapa ofisini watu ni vilioa tu!

Nadhani American Blacks wana asili ya Uzaramo wamewasuta mpaka wamekoma!
 
Usiseme hivo mkuu wenzenu yamewakuta, whites hawana amani? Mungu akisamehe anasamehe!
Maigizo tushayachoka hawakomi hawa VIUMBE wanajiona first class in all items wacha kwanza twende nao kama wanavyotaka after hapa tutaongea lugha moja

US shida nimfumo MKUU bila huo mfumo kuondoka ama kufanyiwa mabadiliko Nothing New.
 
Muarab, mhindi na mchina hawawezi kumpigia magoti muafrika, wazungu wanajielewa sana.
 
Wazungu wakitubagua ni kosa kubwa ila tukibaguana sisi kwa sisi sio dhambi, dhambi ya unafiki waafrica tunaoishi bara la Africa itaendelea kututafuna, hivi hicho kinatofautiana vipi na kinachofanywa na serikali ya ccm na vyombo vyake vya ulinzi
 
Back
Top Bottom