Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,440
- 8,149
Wazungu wakiamua waache kuandamana afu wawape kibano waafrika watakaoandamana maandamano yakuwa kwishney. Waafrika tu hawawezi kusababisha noma US bila kampani ya wazungu.Mzungu akitaka lake anaweza akakupa kila kitu, wanawapigia magoti coz wanaogopa machafuko, wanajua kikiendelea kunuka ni hatari zaidi ya sasa
Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app