Hakuna namna zaidi ya kuipa nafasi timu ya makao makuu ya nchi ili kuleta msawazo kama ambavyo miaka mingi timu za Dar zinavyofanyiwa figisu zisipande kisa tu Dar kuna timu nyingi
Refer...Friends rangers,Ashanti,Abajalo,African Lyon
Ligi daraja la kwanza mimi naionaga kama maigizo tu tokea ule mwaka aliopanda Ndanda fc badala ya African Lyon kwa kukosa million 5 za hongo