Ngoja mabingwa wa nchi waanze mechi za Kimataifa kwa mkapa pale. Machinjioni kwa waarabu na wengine. MTAENDA AZAM KUCHEKI YANGA NA KMKMKwa upande wangu naona wale jamaa kupokea kichapo ilikua sawa kabisa mechi sio ya Simba mnakodi gari kabisa mpaka mkoani morogoro ingekua dar ningesema sawa kunanini nyuma ya hawa mashabiki wa Simba wanapata faida gani kukodi gari mpaka mikoni? Je kunamkono wa uongozi wa Simba ? Wametumwa na Nani kutuhujumu? Tutawapiga sana tuu popote watakapo tufuata tushachoka kuhujumiwa
Kuna mtu anayetukanwa kwenye nchi hii kama Manara??Manara amekuwa akiidhihaki na kuidharau Yanga... Amepitiliza kabisa kwenye Level ya UTANI ameanza KUWADHALILISHA YANGA, WACHEZAJI WAO, WAMILIKI, n.k.... inafika muda nembo ya Yanga anaweka CHURA pale??? Huyu ndiye anayesababisha CHUKI kujaa kifuani mwa wana Yanga. Kwani Simba na Yanga zimeanzishwa leo?? Kwani utani wa Jadi umeanza leo???? KWANINI KUPIGANA KUANZE LEO????
Ushabiki na utani wa jadi ni maneno haijalishi yanachoma kiasi ganiKumekuwa na tatizo la mashabiki kupigwa uwanjani hasa wa Simba waingiapo mechi za Yanga. Kuhusu uchunguzi wa sababu za vurugu hizo TFF anzieni hapa.
1/Wapo mashabiki wa timu moja ni wakorofi sana ila wamejipa jina la unyonge. Mashabiki hawa wanapenda ku attack personally lakini wakipigwa watasema club yao imepigwa. Hawa wana attack watu personally kwa matusi lakini wakipigwa au kudhihakiwa wanaenda kujificha nyuma ya kivuli cha Club, dini au ulemavu wao.
2/TFF waangalie pia namna gani wanavilea hivi vilabu, je haki inatendeka wao wanapotoa maamuzi kwa vilabu hivyo? Tumeona mara kadhaa klabu moja kupewa adhabu wakati nyingine hazipewi kwa makosa yanayofanana. Hii inapelekea kundi moja kuona haina haki kwa baba yao hivyo kuanza kujichukukulia sheria mikononi.
Note:
Simba na Yanga ni watani wa jadi wenye uhasimu mkubwa tangu zamani, kama watu wanajiua endapo timu moja inafungwa watashindwa kukuua wewe pale hisia za namna hiyo zinapowapata? Hivyo tujadili namna nzuri ya kuingia kwenye mechi za watani hawa na kuheshimu hisia za watu.
Naona we ndio umetoka porini. Munaijua ligi kupitia Azam Tv. Kwenye kila uwanja hapa Tanzania kuna majukwaa yanayojulikana kama ni ya Yanga au Simba, majukwaa hayo hukaa wanazi waliopitiliza ushabiki sasa wewe timu pinzani ukienda utapigwa tu, tena unaenda umevaa jezi ya hasimu kabisa nakwambia ndugu utapigwa tu. Tukubali kuheshimu hisia za watu.Katika kukua kwako ulishaona mashabiki wa simba na yanga wanapigana, mnatoka maporini mnajifunza ushabiki ukubwani ndio mnakimbilia kupigana
Unazungumzia kuhusu kuheshimu hisia za watu usingeshabikia upuuzi unaofanywa na upotolo wenzako .Naona we ndio umetoka porini. Munaijua ligi kupitia Azam Tv. Kwenye kila uwanja hapa Tanzania kuna majukwaa yanayojulikana kama ni ya Yanga au Simba, majukwaa hayo hukaa wanazi waliopitiliza ushabiki sasa wewe timu pinzani ukienda utapigwa tu, tena unaenda umevaa jezi ya hasimu kabisa nakwambia ndugu utapigwa tu. Tukubali kuheshimu hisia za watu.
Kama unaona hakuna point hapo sasa nyie endeleeni kujichanganya muone tunavyowafirimba kumamake....... Kama hamuamini jichanganyeni kwenye game ya Coastal muone .... Mtajua hamjuiHuna points ya msingi. Nonsense
pumbavu Simba imeanzishwa na wahindi na waarabu, Yanga imeanzishwa na waafrika, hawakuwahi kuwa ndugu.Kinachowaponza mashabiki wengi wa Yanga ni ushamba.
Wana Yanga wengi wa miaka hii hawajui maana ya "UTANI WA JADI".
Hawajui kabisa kama waasisi wa timu hizi walikuwa ndugu na majirani kwa nia ya kuburudika.
Kauli za shombo ni sehemu ya utani.
Matusi siyo utani na hakuna aliyewatukana zaidi ya kutania.
Ila wana Yanga waelewe, vitendo vya kupigana wanavyoanza kuzoea vitawaghalimu.
Mashabiki wa Simba hawatakubali kuzoa tabia hiyo
Acha tabia ya kukariri.pumbavu Simba imeanzishwa na wahindi na waarabu, Yanga imeanzishwa na waafrika, hawakuwahi kuwa ndugu.
acha uongo. Simba imeanzishwa na wahindi na waarabu wa kariakoo ndio maana waliita Sunderland wakiifananisha na Sunderland ya uingereza, wahindi na waarabu hawakuipenda Yanga kwa sababu yanga ilianzishwa na waafrika wazalendo waliokuwa wanapigania uhuru wa Tanganyika. toka lini wahindi na waarabu wakapenda timu ya waafrika?Acha tabia ya kukariri.
Simba ilianzishwa na wazawa kama ilivyo Yanga.
Wahindi na waarabu walikuja wenyewe kwa mapenzi yao hasa baada ya timu ya Yanga kuwabagua watu hao.
Kitu kama hukijui heri ukae kimya
Mashabiki wa Yanga na Club yao wataelimika lini?
Nani alimwita Tshishimbi bwabwa mvaa vikuku?Lete huo ushahidi, maana mnajua kuongea badala ya kuleta ukweli wa jambo
Huyu alichukuliwa hatua gani? Kwa hali hii hawa wangekutana physically nini kingetokea? Nani alimwita Tshishimbi bwabwa mvaa vikuku? Matusi sio utani wa jadi.Usiongee bila kutoa ushahidi.Eleza ni club ipi inapendelewa na hao TFF,na kwa vipi,huku ukianisha mifano halisi pasipo kutia Shaka,vinginevyo kama ni hisia zako,baki nazo mle na wakwenu