Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Kwa Hali ilivyo Sasa, Mtu anatoka baa anapitia studio anahojiwa eti ni Mchambuzi wa soka inafubaza ubora WA soka la Tanzania.
Kama mawakala wa Wachezaji Wana Leseni na wanafanya mitihani kabla ya kuzipata iweje kuchambua soka ambako kunahitaji utaalamu zaidi iwe holela? Mtu aliyefeli kwenye Uwakala wa Wachezaji anakimbilia kuwa mchambuzi uchwara na Hakuna cha kufanya maana Hakuna sheria inayombana.
Ni wakati Sasa nchi iwe na Kanuni mahususi zinazosimamia tasnia hii adhimu ya uchambuzi na kama Mtu anaitwa siyo mchambuzi mwenye kutambulika chombo cha habari kilochomuita kiseme Wazi huyu tumemuita kama mchezaji wa zamani au shabiki tu.
Kama mawakala wa Wachezaji Wana Leseni na wanafanya mitihani kabla ya kuzipata iweje kuchambua soka ambako kunahitaji utaalamu zaidi iwe holela? Mtu aliyefeli kwenye Uwakala wa Wachezaji anakimbilia kuwa mchambuzi uchwara na Hakuna cha kufanya maana Hakuna sheria inayombana.
Ni wakati Sasa nchi iwe na Kanuni mahususi zinazosimamia tasnia hii adhimu ya uchambuzi na kama Mtu anaitwa siyo mchambuzi mwenye kutambulika chombo cha habari kilochomuita kiseme Wazi huyu tumemuita kama mchezaji wa zamani au shabiki tu.