Ukweli ningependa Singida watuwakilishe mwakani na wawe ndio wameingia kwenye ushindani wa kimataifa na taratiiiiiibu simba na yanga ziondoke kwenye utawala fake wa soka bongo
mkuu umenena ..simba na yanga hawana discpline kbsa linapokuja suala la mechi za kimataifa, hebu ona wakikutana wao kwa wao maandalizi wanayofanya , utaskia hyu kaenda pemba mwingine kaenda morogoro lkn kwenye mechi za kimataifa wana relax kbsa