TFF, bodi ya ligi na TAKUKURU kuweni macho mechi ya Yanga dhidi ya Mashujaa

TFF, bodi ya ligi na TAKUKURU kuweni macho mechi ya Yanga dhidi ya Mashujaa

Wenzio Tff, wameshawashtukia Simba kweny ile Kadi nyekund! Wameifuta tayari,.... Kweli we mshabiki!

Vip leo ukipewa uchezeshe gemu ya mashujaa, utakuwa upande gan
Ntakuwa upande wa yanga.
 
Mnalitia najisi soka letu kwa mambo yenu ya hovyo ya kupanga matokeo TAKUKURU leo nawashauri wawe macho.

Simba ni timu kubwa na inashinda kihalali dhidi ya namungo game ilikuwa tafu sana mpaka wachezaji wakaamua kutumia uwezo binafsi kuamua mechi.
refa nae akatumia nguvu ya bahasha kuamua matokeo

naona kwa aibu kamati imefuta kadi kutokana na kutoridhishwa na maelezo ya mwamuzi (nilitamani nione maelezo ya kipumbavu ya mwamuzi)
 
Magoli yalikuwa halali ndio maana hayajafutwa.

Mwamuzi kutoa red card hilo ni suala lake binafsi yeye na namna anavyoutafsiri mchezo hatuwezi kumpangia.

Ndiyo maana tunawataka TAKUKURU na JESHI LA POLISI leo wawe macho na manguli wa kupanga matokeo yanga afirika.
yanga ndio tabia zao hadi mechi nne mfululizo wanapanga na simba

wanatembeza bahasha simba wana achia mzg
 
yanga wamesha panga hadi matokeo ya tarehe 8 na nyau
 
Umesikia huko, Bodi ya ligi wameifuta Ile kadi nyekundu waliopewa Namungi mechi ya Simba!?

Imeonekana ilikua kadi ya mchongo.


cha ajabu, kadi imefutwa na mwaamzi hajachukuliwa hatua yoyote. hii inamaana walidhamiria kuiua Namungo kimchezo hafu waje wafute kadi.
 

Attachments

  • tff.jpg
    tff.jpg
    89.9 KB · Views: 1
Mnalitia najisi soka letu kwa mambo yenu ya hovyo ya kupanga matokeo TAKUKURU leo nawashauri wawe macho.

Simba ni timu kubwa na inashinda kihalali dhidi ya namungo game ilikuwa tafu sana mpaka wachezaji wakaamua kutumia uwezo binafsi kuamua mechi.
Kwa hiyo ushahidi unao ila UMEUKALIA, sio?
 
Back
Top Bottom