TFF chukueni hatua juu ya malalamiko ya vyumba vya kupumzikia wachezaji

TFF chukueni hatua juu ya malalamiko ya vyumba vya kupumzikia wachezaji

Kalolelo

Senior Member
Joined
Oct 17, 2018
Posts
164
Reaction score
244
Kuna malalmiko mengi yanatolewa na timu kuhusu vyumba kupuliziwa dawa. wachezaji wasipoingia TFF mnakuja na adhabu pasipo kuchunguza kimsingi hii si haki na si sehemu ya kutatua tatizo msingoje hadi watu wapate madhara ndo muanze kuchukua hatua. fanyeni uchunguzi na mjiridhishe ndo mchukue hatua
 
Back
Top Bottom