Nadhani hii ni lack of knowledge jinsi mpira unavyoendeshwa...., hii ni Timu ya Taifa..., yoyote mwenye uwezo anaweza kuchaguliwa na sababu ya exposure na ugumu wa ligi kuu katika nchi, basi naturally wachezaji wengi wazuri wanapatikana katika ligi hii ndio maana asilimia kubwa wanatoka kwenye ligi..., kama mjeshi ni mzuri hata akiwa mafichoni basi timu yoyote kubwa katika hii ligi kubwa itamuona na hence mwisho wa siku atakuwa Timu ya Taifa...
Kama issue ni kukosa ukakamavu basi wachague mtu wa kuwapa mazoezi mjeshi au waende field jeshini