Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu zetu zinatumikia siasa zaidi kuliko mpira kwenye mashindano haya, matkeo yake timu zinaingia hasara kubwa kushiriki mashindano haya, wachezaji wanaumia na kuchoka sana, ligi inachelewa kumalizika na timu kuchelewa kwenda pre-seasons kabla ya ligi na mashindano ya caf kuanza.Timu za. simba na yanga zipeleke vikosi hafifu
Kwani mkikataa hampeleki Timu itakuwaje?Mnapeleka Timu B
Wahuni wa KICHEFUCHEFU wanaweza wakawapiga faini ya milioni 100.Kwani mkikataa hampeleki Timu itakuwaje?