TFF hawajui Kingereza?

Kwani hata wasipojua tatizo liko wapi??? Watu hawajui Kiswahili, itakuwa Kiingereza ambayo ni lugha ngeni?
Barua iko addressed kwa nani?
Kama inaenda Uhamiaji ili waweze kutoa Visa wageni wakifika uwanja wa ndege, Kingereza kibovu cha kazi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…