THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Hili swali nimelitoa humuhumu Kwa mwana JF nikali highligh tu maana hata Mimi nimejiuliza sana na nimeliuliza sana Kuanzia Jana ila Kila mtu ukimuuliza ana lala mbele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali la nyongeza je mvua ingeli nyesha siku hiyo walio taka kufanya mazoezi kesho yake Simba wangeli kimbia mechiHili swali nimelitoa humuhumu Kwa mwana JF nikali highligh tu maana hata Mimi nimejiuliza sana na nimeliuliza sana Kuanzia Jana ila Kila mtu ukimuuliza ana lala mbele.
View attachment 3264198
Kwanini waje na Mbuzi na Kuku usiku uwanjani? Wanafanya kisingizio cha mazoezi wakati wamekuja kuroga uwanja siku zote hawajafanya mazoezi?Kwanini timu izuiwe kufanya mazoezi?
Kwa ajili ya kitoweo, wakimaliza mazoezi wanashushia na supu.Kwani waje na Mbuzi na Kuku usiku uwanjani?
Viongozi wote wa Bodi ya Ligi wapishe Viti vile wakalie wengine wenye kufuata kanuni na Sheria sio kufuata siasa za watu wachacheTFF hawana uwezo wa kusimamia Ligi
Ndio upeleke mbuzi na kuku uwanjani usiku? Na Waganga wenu wenye macho mekunduKwa ajili ya kitoweo, wakimaliza mazoezi wanashushia na supu.
Kuthibitisha kwamba wajumbe wa bodi ya Ligi ya Tanzania uwezo wao wa kufikiri ni mdogo huwa hawaendi kwenye eneo la tukio, (uwanjani), eti wanasubiri report ya meneja wa uwanja na kamishina wa mchezo, Ndiyo maana wanatumia muda mrefu kufanya maamuziViongozi wote wa Bodi ya Ligi wapishe Viti vile wakalie wengine wenye kufuata kanuni na Sheria sio kufuata siasa za watu wachache
Steve Mngeto na Almasi Kasongo wajiuzulu waachie viti vile kwa kutoa maamuzi ya kuduanzi maambuzi yasiyokwenda shuleKuthibitisha kwamba wajumbe wa bodi ya Ligi ya Tanzania uwezo wao wa kufikiri ni mdogo huwa hawaendi kwenye eneo la tukio uwanjani
Mvua ni kitu tofauti sana. Hiyo inajulikana changamoto zake.Swali la nyongeza je mvua ingeli nyesha siku hiyo walio taka kufanya mazoezi kesho yake Simba wangeli kimbia mechi
swali la pili nani mwenye funguo za uwanja
Swali lingine je simba walitoa taarifa kwa maandishi kuhusu kwenda kufanya mazoezi ama Ndiyo mazoea hujenga tabia
Hitimisho bodi ya Ligi Tanzania haina weledi nadhani hata TFF
Viongozi wa Bodi ya Ligi watoke kwenye zile nafasi wapishe wengine wanaoweza kufanya maamuzi kwa kufuata kanuni bila kufuata mihemuko yao ya kisiasa na kishabikiMvua ni kitu tofauti sana. Hiyo inajulikana changamoto zake.
Harassment waliyofanyiwa Simba haikuwa na uhalali wowote, tena imefanywa na the so called 'Makomandoo'.
Simba wametuma ujumbe kwa mamlaka za soka na vyombo vingine vya kiserikali kuonyesha kutokukubaliana na 'upendeleo' wa wazi anaoupata Yanga nje ya uwanja.
Wakiendelea kukaza shingo, sio hili tu, kuna mengi yataibuliwa ambayo bila shaka viongozi wa Simba wanao ushahidi wake. Kwahakika Ligi yetu haitabaki salama.
Ni muhimu kuwa na 'Fair Competition' In and Off the pitch.
Kwenye taarifa ya Simba wana maana kubwa kusema ' Haki zote zimehifadhiwa'. Wanajua wanachokifanya.
Kwahakika, Yajayo yanafurahisha.!
Mazoezi ya dakika 30 ndio ya Mhimu sana kuliko ya Siku 4+?Kwanini timu izuiwe kufanya mazoezi?
HakikaViongozi wa Bodi ya Ligi watoke kwenye zile nafasi wapishe wengine wanaoweza kufanya maamuzi kwa kufuata kanuni bila kufuata mihemuko yao ya kisiasa na kishabiki
Maswali ni mengis sana na yote hawawez yajibuMvua ni kitu tofauti sana. Hiyo inajulikana changamoto zake.
Harassment waliyofanyiwa Simba haikuwa na uhalali wowote, tena imefanywa na the so called 'Makomandoo'.
Simba wametuma ujumbe kwa mamlaka za soka na vyombo vingine vya kiserikali kuonyesha kutokukubaliana na 'upendeleo' wa wazi anaoupata Yanga nje ya uwanja.
Wakiendelea kukaza shingo, sio hili tu, kuna mengi yataibuliwa ambayo bila shaka viongozi wa Simba wanao ushahidi wake. Kwahakika Ligi yetu haitabaki salama.
Ni muhimu kuwa na 'Fair Competition' In and Off the pitch.
Kwenye taarifa ya Simba wana maana kubwa kusema ' Haki zote zimehifadhiwa'. Wanajua wanachokifanya.
Kwahakika, Yajayo yanafurahisha.!
Tanzania Kila sehemu uswahili mwingiSteve Mngeto na Almasi Kasongo wajiuzulu waachie viti vile kwa kutoa maamuzi ya kuduanzi maambuzi yasiyokwenda shule
Watu wamesafiri kutoka Mataifa mbalimbali kuja kuangalia gemu ya Simba na Yanga kisha wao wanatoa maamuzi gani ya kikunguni kisa kuleta ushabiki wao na siasa kwenye mpira waachie zile nafasi wakae wengine wanaoweza kuzingatia kanuni zinasemajeTanzania Kila sehemu uswahili mwingi
Mkuu sikia una halalisha mtu akifanyiwa kosa achukue sheria Mkononi?Mvua ni kitu tofauti sana. Hiyo inajulikana changamoto zake.
Harassment waliyofanyiwa Simba haikuwa na uhalali wowote, tena imefanywa na the so called 'Makomandoo'.
Simba wametuma ujumbe kwa mamlaka za soka na vyombo vingine vya kiserikali kuonyesha kutokukubaliana na 'upendeleo' wa wazi anaoupata Yanga nje ya uwanja.
Wakiendelea kukaza shingo, sio hili tu, kuna mengi yataibuliwa ambayo bila shaka viongozi wa Simba wanao ushahidi wake. Kwahakika Ligi yetu haitabaki salama.
Ni muhimu kuwa na 'Fair Competition' In and Off the pitch.
Kwenye taarifa ya Simba wana maana kubwa kusema ' Haki zote zimehifadhiwa'. Wanajua wanachokifanya.
Kwahakika, Yajayo yanafurahisha.!
Mkuu hapa utajibiwa na wajinga wale wale tuliojaa kwenye kila uzi.Hili swali nimelitoa humuhumu Kwa mwana JF nikali highligh tu maana hata Mimi nimejiuliza sana na nimeliuliza sana Kuanzia Jana ila Kila mtu ukimuuliza ana lala mbele.
View attachment 3264198