Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huo uhuni ndio ilitakiwa kutumika kufanikisha upuuzi wa utopolo kwa kuchungulia madhaifu ya Kanuni za bodi ya ligi. Kwa Bahati mbaya viongozi wa Simba ni smart zaidi ya wale wa utopolo...Na kuna uwezekano wa kugombea na mechi nyingine za ligi kama hatua za kinidhamu hazitachukuliwa dhidi ya hao wahuni...Upumbavu upumbavu hatutaki! UBAYA UBWELAHili swali nimelitoa humuhumu Kwa mwana JF nikali highligh tu maana hata Mimi nimejiuliza sana na nimeliuliza sana Kuanzia Jana ila Kila mtu ukimuuliza ana lala mbele.
View attachment 3264198
Sii kunakuwa na pre match meeting ambapo masuala yote hayo yanazungumzwa...je hiko kikao hakikuwepo na kama kilikuwepo kwa nini hili suala la mazoezi kwa upande wa simba hayakuzungumzwaSwali la nyongeza je mvua ingeli nyesha siku hiyo walio taka kufanya mazoezi kesho yake Simba wangeli kimbia mechi
swali la pili nani mwenye funguo za uwanja
Swali lingine je simba walitoa taarifa kwa maandishi kuhusu kwenda kufanya mazoezi ama Ndiyo mazoea hujenga tabia
Hitimisho bodi ya Ligi Tanzania haina weledi nadhani hata TFF
Umenena vyema huwa wanapenda kuongea nyuma ya mikamera siku moja kabla ya mechi na waandishi wa habari ambapo makocha wa pande zote mbili wanakuwepoSii kunakuwa na pre match meeting ambapo masuala yote hayo yanazungumzwa...je hiko kikao hakikuwepo na kama kilikuwepo kwa nini hili suala la mazoezi kwa upande wa simba hayakuzungumzwa
Walitoa taarifa ya kwenda kufanya hayo mazoezi? Mbona taarifa ya hiyo Bodi ya ligi inaonesha wazi hakukuwepo na mawasiliano yoyote yale ya mapema ya kuonesha hiyo timu ya simba ingeenda kufanya mazoezi, ili maandalizi yafanyike?Kwanini timu izuiwe kufanya mazoezi?
Nan alieizuia? Nan ana uwezo wa kukuoa timu isifanye mazoeziKwanini timu izuiwe kufanya mazoezi?
1: ukikamilisha taratibu zote uwanja unakua mali ya timu mwenyeji.Swali la nyongeza je mvua ingeli nyesha siku hiyo walio taka kufanya mazoezi kesho yake Simba wangeli kimbia mechi
swali la pili nani mwenye funguo za uwanja
Swali lingine je simba walitoa taarifa kwa maandishi kuhusu kwenda kufanya mazoezi ama Ndiyo mazoea hujenga tabia
Hitimisho bodi ya Ligi Tanzania haina weledi nadhani hata TFF
Figure heads -Sanamu
Kibiashara hii game imetia hasara kubwa mno tena sana,kuna hadi scouts wametoka nje kuja angalia hio mechi,wafanyabiashara ndio janga kabisaWanayafahamu mapungufu ya bodi ya Ligi kwamba
1. Bodi ya Ligi huwa hawaendi eneo la tukio, (uwanjani)
2.Bodi ya Ligi haina uwezo wa kutafsiri kanuni
3. TFF hawana elimu ya biashara ama ujasiriamali yaani mteja kwao ni fala tu, (mashabiki) hata wasipokuja uwanjani pia hawajui umuhimu wa matangazo ya kibiashara hadi hapo watakapo shitakiwa na wenye akili
Tanzania tuna watu wajinga na wapumbavu tunao wapa dhamana halafu tunawachekeaKibiashara hii game imetia hasara kubwa mno tena sana,kuna hadi scouts wametoka nje kuja angalia hio mechi,wafanyabiashara ndio janga kabisa
Hapo wakumla kichwa wakwanza ni GC wa mchezo period.Umenena vyema huwa wanapenda kuongea nyuma ya mikamera siku moja kabla ya mechi na waandishi wa habari ambapo makocha wa pande zote mbili wanakuwepo
Yaani tunatumia akili nyingi bila sababu kudadavua mambo wakati wajinga na wapumbavu wamekaa pale wanatucheka kwa kwikwi
Mpumbavu ni mtu aliyebobea kwenye jambo fulani lakini ana mapuuza hatekelezi majukumu yake kwa weledi kwa Tanzania upumbavu ni kipaji
Swali jingine, nani aliyepeleka malalamiko kwenye bodi ya ligi hadi waitishe kikao? Kwa maneno mengine, mlalamikaji kwenye jambo lililosikilizwa na kikao, alikuwa nani?Swali la nyongeza je mvua ingeli nyesha siku hiyo walio taka kufanya mazoezi kesho yake Simba wangeli kimbia mechi
swali la pili nani mwenye funguo za uwanja
Swali lingine je simba walitoa taarifa kwa maandishi kuhusu kwenda kufanya mazoezi ama Ndiyo mazoea hujenga tabia
Hitimisho bodi ya Ligi Tanzania haina weledi nadhani hata TFF
Figure heads -Sanamu
Kwenye kutafsiri sheria hakuna ..inge...Swali la nyongeza je mvua ingeli nyesha siku hiyo walio taka kufanya mazoezi kesho yake Simba wangeli kimbia mechi
swali la pili nani mwenye funguo za uwanja
Swali lingine je simba walitoa taarifa kwa maandishi kuhusu kwenda kufanya mazoezi ama Ndiyo mazoea hujenga tabia
Hitimisho bodi ya Ligi Tanzania haina weledi nadhani hata TFF
Figure heads -Sanamu
Simba amelalamika kufanyiwa fuji na kuzuia kuingia uwanjani na makomando wa yanga hivyo akaamua kupeleka barua saa 8 usiku kwa tff na bodi ya ligiSwali jingine, nani aliyepeleka malalamiko kwenye bodi ya ligi hadi waitishe kikao? Kwa maneno mengine, mlalamikaji kwenye jambo lililosikilizwa na kikao, alikuwa nani?
Unamaanisha ile taarifa kwa uma ndo barua kwa bodi ya ligi?Simba amelalamika kufanyiwa fuji na kuzuia kuingia uwanjani na makomando wa yanga hivyo akaamua kupeleka barua saa 8 usiku kwa tff na bodi ya ligi
Hii jamii ya bora liende ni ya kipumbavu, hatuwezi kuendesha taasisi kwa masilahi binafsi ama ya watu wachacheKwenye kutafsiri sheria hakuna ..inge...
Sheria inajishughulisha na facts zilizopo mana si muda wa kuitunga sheria!
Mambo ya mvua achana nayo.
Rudi swali la msingi la mleta mada.
Binafs sipendi mtu anaye underrate sheria na kuzalisha uholela.
Ni tabia iliyotufikisha pabaya hata ngazi za kisiasa.
..Sitasahau kisa cha kesi ya ubakwaji wa binti chini ya 18 iliyopelekwa polisi alaf polis akaanza kutoa maoni eti yaishe kifamilia kwa sababu tu msichana hajachanika viungo!
Sheria ni sheria!
Kwanini wazuie mabaunsa wa yanga na sio serikaliWalitoa taarifa ya kwenda kufanya hayo mazoezi? Mbona taarifa ya hiyo Bodi ya ligi inaonesha wazi hakukuwepo na mawasiliano yoyote yale ya mapema ya kuonesha hiyo timu ya simba ingeenda kufanya mazoezi, ili maandalizi yafanyike?
Halafu swali litabakia pale pale; je, kuzuiwa kufanya hayo mazoezi ndiyo kuwe ni tiketi ya kususia mchezo? Au kilikuwa kinatafutwa tu kisingizio baada ya viongozi wa timu kufanya tathmini yao ya kina, na kugundua maji yako shingoni?
Ufuatilie na kanuni kwanza zilizowekwa na hiyo Bodi ya ligi ili ufahamu sababu ya walinzi wa Yanga kuwepo uwanjani.Kwanini wazuie mabaunsa wa yanga na sio serikali