Carica_papaya
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 767
- 1,272
HIvi unajua kujenga hoja yenye mashiko ukaeleweka? Inayoonyesha sheria 17 za mpira wa miguu zilizokiukwa? Umeandika kama shabiki anayebishana kijiweni.Kwa mpira wa jana Simba dhidi ya Singida nashawishika kusema TFF hawana budi kuchunguza Mechi zote ambazo simba Wanacheza. Inawezekana ndio mpango wa maboss wao kuwarubini Waamuzi ili wapate matokeo. Haiwezekani mechi zaidi ya 5 waamuzi Wanaochezesha mechi za Simba kufungiwa/ kulaumiwa
Kibaya zaidi hili genge linasahau mpira wa miguu kwa sasa unaonekana na kila mtu.
Watafute wachezaji wenye sifa kuliko vituko wanavyofanya kwa sasa.. ni aibu sana
Hata vichaa huwaona Watu kuwa hawana utimamu wa akili....HIvi unajua kujenga hoja yenye mashiko ukaeleweka? Inayoonyesha sheria 17 za mpira wa miguu zilizokiukwa? Umeandika kama shabiki anayebishana kijiweni.
Hivi wewe ni Ke au Me?Kwa mpira wa jana Simba dhidi ya Singida nashawishika kusema TFF hawana budi kuchunguza Mechi zote ambazo simba Wanacheza. Inawezekana ndio mpango wa maboss wao kuwarubini Waamuzi ili wapate matokeo. Haiwezekani mechi zaidi ya 5 waamuzi Wanaochezesha mechi za Simba kufungiwa/ kulaumiwa
Kibaya zaidi hili genge linasahau mpira wa miguu kwa sasa unaonekana na kila mtu.
Watafute wachezaji wenye sifa kuliko vituko wanavyofanya kwa sasa.. ni aibu sana
Mimi ni KOLO ninae beɓwA kuanzia 2023/2024Hivi wewe ni Ke au Me?
Rejea mechi ya Geita Gold (H), Azam (H & A), Namungo (A) VS Yanga zote za msimu wa 2022-2023 na kilicho wakuta waamuzi wa mechi hizi...Kwa mpira wa jana Simba dhidi ya Singida nashawishika kusema TFF hawana budi kuchunguza Mechi zote ambazo simba Wanacheza. Inawezekana ndio mpango wa maboss wao kuwarubini Waamuzi ili wapate matokeo. Haiwezekani mechi zaidi ya 5 waamuzi Wanaochezesha mechi za Simba kufungiwa/ kulaumiwa
Kibaya zaidi hili genge linasahau mpira wa miguu kwa sasa unaonekana na kila mtu.
Watafute wachezaji wenye sifa kuliko vituko wanavyofanya kwa sasa.. ni aibu sana
Hivi kwann ukiwa na mwiko nyuma unarukwa na akili?Kwa mpira wa jana Simba dhidi ya Singida nashawishika kusema TFF hawana budi kuchunguza Mechi zote ambazo simba Wanacheza. Inawezekana ndio mpango wa maboss wao kuwarubini Waamuzi ili wapate matokeo. Haiwezekani mechi zaidi ya 5 waamuzi Wanaochezesha mechi za Simba kufungiwa/ kulaumiwa
Kibaya zaidi hili genge linasahau mpira wa miguu kwa sasa unaonekana na kila mtu.
Watafute wachezaji wenye sifa kuliko vituko wanavyofanya kwa sasa.. ni aibu sana
Kabla ya kumtuhumu mtu uwe unamjua historia ya maisha yake sio uwe mfuasi wa kuokoteza habari za vijiweni!TFF hii hii ya Karia au?
Yaani Karia achunguze Simba kubebwa?
Tutajie hizo mechi wewe uto! Mbona game za uto hujasema, mbona game za Azam hujaumia hivo? Hata hao hao singida ambao kuna penati karibia mbili hujataka chambua? Na nilisikia mlikuwa hamna malengo na mapinduz sasa mbona umeumia hivo uto?Kwa mpira wa jana Simba dhidi ya Singida nashawishika kusema TFF hawana budi kuchunguza Mechi zote ambazo simba Wanacheza. Inawezekana ndio mpango wa maboss wao kuwarubini Waamuzi ili wapate matokeo. Haiwezekani mechi zaidi ya 5 waamuzi Wanaochezesha mechi za Simba kufungiwa/ kulaumiwa
Kibaya zaidi hili genge linasahau mpira wa miguu kwa sasa unaonekana na kila mtu.
Watafute wachezaji wenye sifa kuliko vituko wanavyofanya kwa sasa.. ni aibu sana
HahahahahaHivi kwann ukiwa na mwiko nyuma unarukwa na akili?
Hivi unajua namna Karia alipata uongozi?Kwa mpira wa jana Simba dhidi ya Singida nashawishika kusema TFF hawana budi kuchunguza Mechi zote ambazo simba Wanacheza.
Inawezekana ndio mpango wa maboss wao kuwarubini Waamuzi ili wapate matokeo. Haiwezekani mechi zaidi ya 5 waamuzi Wanaochezesha mechi za Simba kufungiwa/ kulaumiwa
Kibaya zaidi hili genge linasahau mpira wa miguu kwa sasa unaonekana na kila mtu.
Watafute wachezaji wenye sifa kuliko vituko wanavyofanya kwa sasa.. ni aibu sana
Aragija alifungiwa kwa kuibeba yanga halafu akaombewa msamaha akapewa mechi ya yanga na Simba nayo akavurunda, tatizo linaanzia kamati ya waamuzi hiyo kamati inabidi kuvunjwa iundwe upyaRejea mechi ya Geita Gold (H), Azam (H & A), Namungo (A) VS Yanga zote za msimu wa 2022-2023 na kilicho wakuta waamuzi wa mechi hizi...
Halafu urudi na huo upupu wako hapa.