nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,731
- 4,271
Hili suala la mikataba mibovu mda mrefu imekuwa ikisababisha umasikini, mauwaji na hasara mbalimbali kwa jamii hapa Tanzania . Huko serikalini ni kugumu kidogo lkn kwa Hawa TFF na bodi ya league Kuna umuhimu mkubwa wa kuwachunguza. Wanahujumu team.
Imagine unataka biashara itangazwe kwa milioni tatu tu ndani na nje ya nchi kwa team Kama Simba sc?
Tusingekuwa na Yule dada imara pale Simba Mambo yangekuwa sio kabisa.
League yetu wanataka iwe utopolo tu.
Wachunguzwe na wawajibishwe. Hatutakibali upuuzi huu.
Imagine unataka biashara itangazwe kwa milioni tatu tu ndani na nje ya nchi kwa team Kama Simba sc?
Tusingekuwa na Yule dada imara pale Simba Mambo yangekuwa sio kabisa.
League yetu wanataka iwe utopolo tu.
Wachunguzwe na wawajibishwe. Hatutakibali upuuzi huu.