TFF iionye timu Prisons FC

TFF iionye timu Prisons FC

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Timu ya Prisons inacheza na kutafuta matokeo kwa kuhatarisha afya na maisha ya wachezaji wa timu nyingine viwanjani. Hali inakuwa mbaya sana inapocheza na timu kubwa za Simba, Yanga na Azam.

Wachezaji wanageuza uwanja kama sehemu ya vita badala ya sport. Wanakamia mno bila kujali afya za wenzao uwanjani na hatima ya maisha ya mpira wa wachezaji wenzao.

Haieleweki kama kama haya ni maelekezo ya benchi la ufundi au wachezeji wenyewe tu.

Pira gwaride na timu kubwa linagharimu sio tu afya za wachezaji wa timu kubwa lakini hata matokeo ya Prisons dhidi ya timu ndogo kwenye ligi. Wanamaliza nguo zao nyingi kwenye mechi dhidi ya timu kubwa na kufungwa na timu ndogo kwenye mechi.

TFF na waamuzi wawe macho na uchezaji usiokuwa wa kiungwana wa timu ya Prisons na timu nyingine zinazocheza kwa kuumiza wachezaji wa timu nyingine kwa kisingizio cha aina yoyoye. Wachezaji wazuri wanajeruhiwa kizembe na wahuni wanaosaka sifa za kihuni.
 
Bora pira gwaride kuliko pira rushwa. Pira rushwa ni hatari sana, mchezaji anaweza akachomwa na kisu na refa asione.
Asukile alete ushahidi. Kwanza Asukile hana uwezo wa kuikataa hata 10,000 sembuse 40m? Kufungwa kunauma, wanakamia sana.
 
Mechi ya jana walikutana wote wacheza mieleka wanaotumia mpira.

Kuna wahuni wanaoharibu mchezo wa soka hapa nchini linapokuja suala la anga kubebwa na waamuzi unawaona wanajitahidi kuleta hoja kana kwamba eti ni mambo ya kawaida tuyazoee.

Hata hoja ya milioni 40 wanajitahidi kuipuuza na kumlaumu aliyeisema wazi wazi. Jambo la kushangaza ni pale kipa mmoja aliyewahi kuituhumu Simba kuwa ilitaka kumhonga gari, aliitwa kwenye kituo chao na akapewa karibu ya saa nzima kumiliki kipindi na kuwaelezea umbea huo uliokuwa na lengo la kuichafua tu brand ya Simba. Hakuwa na ushahidi. Huyu mwenye ushahidi wa simu kupigwa, anapuuzwa na kutakiwa aadhibiwe yeye kwa kusema ukweli.

Kuna siku mtapata mkitakacho.
 
Bora pira gwaride kuliko pira rushwa. Pira rushwa ni hatari sana, mchezaji anaweza akachomwa na kisu na refa asione.
Mkuu hiii ni kweli, kuna timu ilikuwa inamtumia Ulimboka Mwakingwe kama wakala wa kutoa rushwa kwa timu pinzani ili kuvuna points tatu.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Bora pira gwaride kuliko pira rushwa. Pira rushwa ni hatari sana, mchezaji anaweza akachomwa na kisu na refa asione.
Kweli mkuu Kuna timu ilitaka jumps kabwili ist ili afungishe lkn mpk Leo TFF hawajachunguza inabidi haya mambo ya rushwa yafuatiliwe ikigundulika timu ishushwe daraja.
 
Mechi ya jana walikutana wote wacheza mieleka wanaotumia mpira.

Kuna wahuni wanaoharibu mchezo wa soka hapa nchini linapokuja suala la anga kubebwa na waamuzi unawaona wanajitahidi kuleta hoja kana kwamba eti ni mambo ya kawaida tuyazoee.

Hata hoja ya milioni 40 wanajitahidi kuipuuza na kumlaumu aliyeisema wazi wazi. Jambo la kushangaza ni pale kipa mmoja aliyewahi kuituhumu Simba kuwa ilitaka kumhonga gari, aliitwa kwenye kituo chao na akapewa karibu ya saa nzima kumiliki kipindi na kuwaelezea umbea huo uliokuwa na lengo la kuichafua tu brand ya Simba. Hakuwa na ushahidi. Huyu mwenye ushahidi wa simu kupigwa, anapuuzwa na kutakiwa aadhibiwe yeye kwa kusema ukweli.

Kuna siku mtapata mkitakacho.
Aliitwa na TFF kutoa ushahidi?
 
Mkuu hiii ni kweli, kuna timu ilikuwa inamtumia Ulimboka Mwakingwe kama wakala wa kutoa rushwa kwa timu pinzani ili kuvuna points tatu.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Sasa kuna wengine bado wanaendeleza hayo ya akina Mwakingwe enzi hizi za digital. Mbaya zaidi yanacheza pira mihogo michungu yakitegemea pira rushwa.
 
Kweli mkuu Kuna timu ilitaka jumps kabwili ist ili afungishe lkn mpk Leo TFF hawajachunguza inabidi haya mambo ya rushwa yafuatiliwe ikigundulika timu ishushwe daraja.
Shusha wote,halafu kama timu linacheza pira mihogo halafu linatoa rushwa hilo timu ni la kufuta kabisa.
 
Timu ya Prisons inacheza na kutafuta matokeo kwa kuhatarisha afya na maisha ya wachezaji wa timu nyingine viwanjani. Hali inakuwa mbaya sana inapocheza na timu kubwa za Simba, Yanga na Azam.

Wachezaji wanageuza uwanja kama sehemu ya vita badala ya sport. Wanakamia mno bila kujali afya za wenzao uwanjani na hatima ya maisha ya mpira wa wachezaji wenzao.

Haieleweki kama kama haya ni maelekezo ya benchi la ufundi au wachezeji wenyewe tu.

Pira gwaride na timu kubwa linagharimu sio tu afya za wachezaji wa timu kubwa lakini hata matokeo ya Prisons dhidi ya timu ndogo kwenye ligi. Wanamaliza nguo zao nyingi kwenye mechi dhidi ya timu kubwa na kufungwa na timu ndogo kwenye mechi.

TFF na waamuzi wawe macho na uchezaji usiokuwa wa kiungwana wa timu ya Prisons na timu nyingine zinazocheza kwa kuumiza wachezaji wa timu nyingine kwa kisingizio cha aina yoyoye. Wachezaji wazuri wanajeruhiwa kizembe na wahuni wanaosaka sifa za kihuni.
uto muwe mnatafuta wachezajj wenye afya na nyie. By the way mbona mnalalamika Sana nyie mnamatatizo gani nyie utooo. Kila siku mnaoonewa ni nyie tu wengine hawaonewi.
By the way msitutoe kwenye mada ya 40m daaadek zenyu
 
Back
Top Bottom