TFF iionye timu Prisons FC

TFF iionye timu Prisons FC

Siku ile wachezaji wa Simba walivyokuwa wanapigwa daruga shingoni na hawa wanyela nyie manyani mlishangilia sana.
Huu ni mchezo wa mpira na wachezaji miguu yao ndiyo ajira yao hivyo huwezi kuhatarisha ajira zao eti kwasababu wewe ni mwanajeshi na lazima upate matokeo kwa gharama ya afya za wachezaji wa timu pinzani. Hii inakoleza lile wazo la timu za majeshi ziwe na ligi yao.
 
Mechi ya jana walikutana wote wacheza mieleka wanaotumia mpira.

Kuna wahuni wanaoharibu mchezo wa soka hapa nchini linapokuja suala la anga kubebwa na waamuzi unawaona wanajitahidi kuleta hoja kana kwamba eti ni mambo ya kawaida tuyazoee.

Hata hoja ya milioni 40 wanajitahidi kuipuuza na kumlaumu aliyeisema wazi wazi. Jambo la kushangaza ni pale kipa mmoja aliyewahi kuituhumu Simba kuwa ilitaka kumhonga gari, aliitwa kwenye kituo chao na akapewa karibu ya saa nzima kumiliki kipindi na kuwaelezea umbea huo uliokuwa na lengo la kuichafua tu brand ya Simba. Hakuwa na ushahidi. Huyu mwenye ushahidi wa simu kupigwa, anapuuzwa na kutakiwa aadhibiwe yeye kwa kusema ukweli.

Kuna siku mtapata mkitakacho.
Sasa kama walitaka kupewa 40M na walikataa kuna uhusiano gani na kufungwa? Mfa maji haachi kutapatapa. Anataka kusema yule refa aliyeruhusu goli la mkono la Maradona alihongwa sh. ngapi? Wazungu walipoamua kuja na VAR hawakuwa wajinga.
 
Sasa kuna wengine bado wanaendeleza hayo ya akina Mwakingwe enzi hizi za digital. Mbaya zaidi yanacheza pira mihogo michungu yakitegemea pira rushwa.
Wengine wanapata matokeo kwa kupulizia dawa wenzao kwenye vyumba vya kubadilishia nguo viwanjani, na wametenga fungu kubwa la pesa kwenda kwa wachezaji muhimu na waamuzi ili kupata matokeo. Habari zipo. Mchezaji aliyepokea rushwa anaweza akaifungisha timu, kuacha kufunga goli au kujisingizia kuumwa ili asipangwe kwwnye mechi.
 
uto muwe mnatafuta wachezajj wenye afya na nyie. By the way mbona mnalalamika Sana nyie mnamatatizo gani nyie utooo. Kila siku mnaoonewa ni nyie tu wengine hawaonewi.
By the way msitutoe kwenye mada ya 40m daaadek zenyu
Mungu abariki TFF hii yenye upogo isirudi madarakani. Tutamuomba yule kiongozi wa wahindu aombe ili Mwenyekiti/rais asirudi
 
Wengine wanapata matokeo kwa kupulizia dawa wenzao kwenye vyumba vya kubadilishia nguo viwanjani, na wametenga fungu kubwa la pesa kwenda kwa wachezaji muhimu na waamuzi ili kupata matokeo. Habari zipo. Mchezaji aliyepokea rushwa anaweza akaifungisha timu, kuacha kufunga goli au kujisingizia kuumwa ili asipangwe kwwnye mechi.
Sasa mkuu si wataendeleza haya haya msimu ujao? Kwa hiyo timu zingine zitaendelea kusindikiza au nazenyewe zitaanza kupuliza dawa?
 
Sasa mkuu si wataendeleza haya haya msimu ujao? Kwa hiyo timu zingine zitaendelea kusindikiza au nazenyewe zitaanza kupuliza dawa?
Ndio maana kulikuwa na timu ambazo zikikuwa zinakataa kuingia kwenye vyumba uwanjani. TFF ilikuwa ikizilazimisha kuingia vyumbani kwa lazima kwa kuzipga faini
 
Ndio maana kulikuwa na timu ambazo zikikuwa zinakataa kuingia kwenye vyumba uwanjani. TFF ilikuwa ikizilazimisha kuingia vyumbani kwa lazima kwa kuzipga faini
Sasa mbona hizo timu zingine zinafukuza makocha wakati kumbe sababu ya matokeo mabovu ni kupuliziwa dawa?
 
Sasa mbona hizo timu zingine zinafukuza makocha wakati kumbe sababu ya matokeo mabovu ni kupuliziwa dawa?
Hawakujuwa kuwa kuna kupuliziana, badala yake walidhani makocha na wachezaji ndo hawafai.
 
Mfano kuna striker wa timu moja anaitwa 'Sapongo', kwa hiyo huyu ni bonge la striker ila hafungi kwa sababu ya kupuliziwa dawa?
Inawezekana, kuna timu zinazowahonga wachezi muhimu wa timu pinzani, inawezekana sapongo ni mmojawapo, kama sio kupuliziwa dawa basi kapuliziwa pesa asifunge
 
Sasa wewe unaejua umeisaidiaje utopolo isiendelee kusindikiza?
Shida namba moja ya Yanga ni TFF kabla ya simba yenyewe. Viongozi kadhaa wa nchi wanaonyesha mahaba ya wazi kwa timu wanazozishabikia. Ona sakata la Morison lilivyoshughulikiwa.
 
Shida namba moja ya Yanga ni TFF kabla ya simba yenyewe. Viongozi kadhaa wa nchi wanaonyesha mahaba ya wazi kwa timu wanazozishabikia. Ona sakata la Morison lilivyoshughulikiwa.
Sasa si mlienda CAS au na kwenyewe wana mahaba na timu hapa bongoland?
 
Back
Top Bottom