OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Juni 05, 2016 Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) iliikaa katika kikao chake cha kawaida cha 18.
Kamati ya Utendaji ilipitia taarifa mbalimbali za ligi na kukubaliana namna ya kuboresha mashindano mbalimbali ikiwamo Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC), Ligi Daraja la Kwanza ya Startimes, Ligi Daraja la Pili pamoja na Ligi ya Mabingwa wa Mkoa.
Kadhalika kamati iliangalia uendeshaji wa Ligi za vijana wenye umri wa chini ya miaka 20 na Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) ambayo wiki iliyopita ilipata udhamini wa haki za kuonyeshwa kwenye televisheni kutoka kituo cha televisheni cha Azam.
Pia Kamati ya Utendaji ilipitisha azimio la kanuni ya leseni ya klabu kuwa ni lazima ianze kutumika msimu mpya wa mashindano wa 2016/17.
Pia klabu zinatakiwa kuwa na ofisi, Uwanja wa mazoezi, kuendeleza program ya vijana ikiwa ni pamoja na kuwapa haki ya kusoma na na kwamba hakuna mmiliki mmoja anayeruhusiwa kuwa na timu zaidi ya moja katika ligi.
Nimeamua kuweka ufafanuzi huu wa kitaalamu ili kuweka kumbukumbu sawa kusaidia klabu yangu ya Simba SC kuwa makini katika uuzaji wa share zake. Katika mauzo ya share amejitokea mzee Bakheresa akishindana na kijana mwenye mapenzi mazito na klabu ya Simba Mo Dewji Simba.
Viongozi na wasomi wa timu Dr. Mihayo kuweni makini hapo huyu mzee Bakhera ana miliki Azam jambo ambalo sihitaji kulifafanua. Kamati itakayo chambua zabuni iangalie criteria muhumu kama hii
Kamati ya Utendaji ilipitia taarifa mbalimbali za ligi na kukubaliana namna ya kuboresha mashindano mbalimbali ikiwamo Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC), Ligi Daraja la Kwanza ya Startimes, Ligi Daraja la Pili pamoja na Ligi ya Mabingwa wa Mkoa.
Kadhalika kamati iliangalia uendeshaji wa Ligi za vijana wenye umri wa chini ya miaka 20 na Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) ambayo wiki iliyopita ilipata udhamini wa haki za kuonyeshwa kwenye televisheni kutoka kituo cha televisheni cha Azam.
Pia Kamati ya Utendaji ilipitisha azimio la kanuni ya leseni ya klabu kuwa ni lazima ianze kutumika msimu mpya wa mashindano wa 2016/17.
Pia klabu zinatakiwa kuwa na ofisi, Uwanja wa mazoezi, kuendeleza program ya vijana ikiwa ni pamoja na kuwapa haki ya kusoma na na kwamba hakuna mmiliki mmoja anayeruhusiwa kuwa na timu zaidi ya moja katika ligi.
Nimeamua kuweka ufafanuzi huu wa kitaalamu ili kuweka kumbukumbu sawa kusaidia klabu yangu ya Simba SC kuwa makini katika uuzaji wa share zake. Katika mauzo ya share amejitokea mzee Bakheresa akishindana na kijana mwenye mapenzi mazito na klabu ya Simba Mo Dewji Simba.
Viongozi na wasomi wa timu Dr. Mihayo kuweni makini hapo huyu mzee Bakhera ana miliki Azam jambo ambalo sihitaji kulifafanua. Kamati itakayo chambua zabuni iangalie criteria muhumu kama hii