Naona sasa hivi kimya hakuna malalamiko dhidi ya TFF.
Nimeanza kuona wakilalamikia CAF kuwa wako karibu na Mnyama kimchongo mchongo.
Ni lini TFF ya Karia imeacha kuwanyanyasa enyi utopolo mbona siku hizi hamlalamiki kuonewa?
Mna mengi ya kujifunza kwa Mnyama.Anawinda kimya kimya na anapata mawindo yake.Ninyi kitu kidogo tu kelele dunia nzima.Hivi sasa utadhani uto ndio wako club bingwa Afrika kumbe wanacheza kombe la luzaz na hawasemi
Nimeanza kuona wakilalamikia CAF kuwa wako karibu na Mnyama kimchongo mchongo.
Ni lini TFF ya Karia imeacha kuwanyanyasa enyi utopolo mbona siku hizi hamlalamiki kuonewa?
Mna mengi ya kujifunza kwa Mnyama.Anawinda kimya kimya na anapata mawindo yake.Ninyi kitu kidogo tu kelele dunia nzima.Hivi sasa utadhani uto ndio wako club bingwa Afrika kumbe wanacheza kombe la luzaz na hawasemi