TFF imfungie maisha Haji Manara,ni mfitini mwandamizi

TFF imfungie maisha Haji Manara,ni mfitini mwandamizi

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


Huwa sipendi kumzungumzia sana humu kwa sababu hana hadhi ya kujadiliwa na mimi,lakini kwenye hili siwezi kukaa kimya.

Naishauri TFF ichukue hatua kali dhidi ya huyu Chawa. Ana sifa zote za kufungiwa maisha kujihusisha na mpira. Ni mtu mfitini na mfitini ni mtu mbaya sana.
 


Huwa sipendi kumzungumzia sana humu kwa sababu hana hadhi ya kujadiliwa na mimi,lakini kwenye hili siwezi kukaa kimya.

Naishauri TFF ichukue hatua kali dhidi ya huyu Chawa. Ana sifa zote za kufungiwa maisha kujihusisha na mpira. Ni mtu mfitini na mfitini ni mtu mbaya sana.

Ana kweli Nyani haoni kundule.
 


Huwa sipendi kumzungumzia sana humu kwa sababu hana hadhi ya kujadiliwa na mimi,lakini kwenye hili siwezi kukaa kimya.

Naishauri TFF ichukue hatua kali dhidi ya huyu Chawa. Ana sifa zote za kufungiwa maisha kujihusisha na mpira. Ni mtu mfitini na mfitini ni mtu mbaya sana.
Maneno kama haya alikua akitoa hata akiwa Simba..
Vumilia tu..au ujifunze kumpuuza..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 


Huwa sipendi kumzungumzia sana humu kwa sababu hana hadhi ya kujadiliwa na mimi,lakini kwenye hili siwezi kukaa kimya.

Naishauri TFF ichukue hatua kali dhidi ya huyu Chawa. Ana sifa zote za kufungiwa maisha kujihusisha na mpira. Ni mtu mfitini na mfitini ni mtu mbaya sana.

Jenga hoja afungiwe kwa kuvunja kanuni, katiba ya TFF na sheria ipi ya michezo?
 
Sijawahi kukubali uwepo wa Manara Yanga ninacho washangaa mashabiki wa Simba wanakasirishwa na mambo anayoyafanya Manara, wanasahau hata alivyokuwa kwao Simba alikuwa anaifanyia Yanga hivi hivi tena zaidi.

Wengine humu mlikuwa mnamfungulia threads za kumpongeza kwa mambo yake ya kipuuzi leo mnamuona anakosea, wakati anachofanya sasa ni kilekile alichokuwa anakifanya akiwa Simba.
 


Huwa sipendi kumzungumzia sana humu kwa sababu hana hadhi ya kujadiliwa na mimi,lakini kwenye hili siwezi kukaa kimya.

Naishauri TFF ichukue hatua kali dhidi ya huyu Chawa. Ana sifa zote za kufungiwa maisha kujihusisha na mpira. Ni mtu mfitini na mfitini ni mtu mbaya sana.
Kwani hoja yake hapo ni uongo ?!.
 
Mtoa post bwege flan,miaka 6 alikua anamsapoti haji kwa haya haya anayoyafanya sasa,miezi 6 tu against him anaamlisha afungiwe!haji alibadilika lini hadi miaka 6 iliyopita awe mzuri then leo hii watake afungiwe,makolo wanafiki sana
Kama aliyemsupport Haji kwa miaka kadhaa na sasa anampinga, anaitwa Bwege.

Je wale waliokuwa wakitukanwa na kukejeliwa na Haji kwa miaka kadhaa na sasa wamempokea kwenye Yanga na kuwa role model wao nao ni wapumbavu?
 
Back
Top Bottom