Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Simba sc sio timu ya kwanza ku-draw wewe kidimbwiDraw imewavuruga
Kuna kipindi kuna beki wa timu moja ya majeshi alimchezea sana rafu Tambwe wakati yuko Simba utopolo walishangilia ila msimu uliofuata wakati Tambwe kahamia yanga beki yuleyule akamchezea Tambwe kihuni ila safari hiyo kwa sababu alikuwa utopolo wakapiga sana kelele za kulalamika kwa maoni uliyotoa na maelezo ya Eymael sishangai na bahati nzuri mnakutana nao kombe la shirikishoKwanza ile rafu ni kadi ya njano, mchezaji alipiga mpira wala hakumgusa mchezaji wa simba. Na yule mchezaji wz prisons ni mrefu hivyo alipopiga mpira na mguh kwenda juu mchezaji wa simba alipeleka kichwa lkn hakuguswa... Ile sio kadi nyekundu
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Umeandika unyama sana !Kwanza ile rafu ni kadi ya njano, mchezaji alipiga mpira wala hakumgusa mchezaji wa simba. Na yule mchezaji wz prisons ni mrefu hivyo alipopiga mpira na mguh kwenda juu mchezaji wa simba alipeleka kichwa lkn hakuguswa... Ile sio kadi nyekundu
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Hahahah utopolo bana!!!Kwanza ile rafu ni kadi ya njano, mchezaji alipiga mpira wala hakumgusa mchezaji wa simba. Na yule mchezaji wz prisons ni mrefu hivyo alipopiga mpira na mguh kwenda juu mchezaji wa simba alipeleka kichwa lkn hakuguswa... Ile sio kadi nyekundu
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Mimi ni shabiki kindaki Ndaki wa mnyamaHahahah utopolo bana!!!
Mimi ni shabiki wa simba, nasema ukweli refa alikurupukaUmeandika unyama sana !
Natafuta ile video nitakuwekea hapa ili twende na vielelezoMimi ni shabiki wa simba, nasema ukweli refa alikurupuka
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Ndo kawaida yao kulia lia na kupigia kelele hata wasiohusika ref..Vyura kwenye vidimbwi vyao yani ni kelele mtindo mmoja kweli jina la Vyura linawafaa utopolo.Sisi Simba SC tunapokutana na Changamoto mchezoni huwa tunamlaumu mchezaji husika but wenzetu Utopolo wanaikutana na Changamoto kama hizi wanawalaumu Marefa, TFF, Bodi ya Ligi na Serikali.
Nimerudia kuangalia tena rafu ile ya kishamba aliyocheza yule mchezaji, nimejiridhisha kwamba kadi nyekundu pekee haitoshi , yule mchezaji anastahili adhabu zaidi, ikibidi hata kufungiwa michezo kadhaa.
Hili likifanyika litaongeza nidhamu kwa wachezaji wengine, haiwezekani tukaacha wachezaji wacheze kijinga vile kisa wanatokea kwenye timu za Majeshi , soka na gwaride au Parade za maadhimisho fulani havifungamani.
Kwanza ile rafu ni kadi ya njano, mchezaji alipiga mpira wala hakumgusa mchezaji wa simba. Na yule mchezaji wz prisons ni mrefu hivyo alipopiga mpira na mguh kwenda juu mchezaji wa simba alipeleka kichwa lkn hakuguswa... Ile sio kadi nyekundu
Sent from my Android using JamiiForums mobile app