Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Watu ninaowaheshimu wakiandika chini ya kiwango huwa sichangii.Nimerudia kuangalia tena rafu ile ya kishamba aliyocheza yule mchezaji, nimejiridhisha kwamba kadi nyekundu pekee haitoshi , yule mchezaji anastahili adhabu zaidi, ikibidi hata kufungiwa michezo kadhaa.
Hili likifanyika litaongeza nidhamu kwa wachezaji wengine, haiwezekani tukaacha wachezaji wacheze kijinga vile kisa wanatokea kwenye timu za Majeshi , soka na gwaride au Parade za maadhimisho fulani havifungamani.