TFF inavuna ilichopanda kwenye mpira

TFF inavuna ilichopanda kwenye mpira

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Tunaona sasa TFF inavyopata shida na Simba na Yanga kiasi cha kupoteza uelekeo.

Tunaona yanga wakigomea mechi yake na simba kwa kosa la kubadilishwa muda wa mechi, tunaona Yanga wakiigomea TFF kuvaa nembo ya mdhamini yenye Rangi nyekundu. Sasa hivi tunaona simba ikigomea udhamini wa GSM, tunamuona Barbara CEO wa simba akitupa kadi ya mwaliko wa VVIP kwenye mechi ya simba vs yanga huku akifanya fujo mbele za watu kuidhalilisha TFF. Yaani kajiona mkubwa kuliko TFF.

TFF inavuna ilichopanda kwenye mpira. Mbwa sasa anaawafuata hadi msikitini. Viongozi wa TFF wanashabikia timu zao badala ya kufuata kanuni zote za mpira kama zilivyo TFF, Cecafa, CAF na FIFA. Wanadharaulika sasa na thamani yao inafahamika sasa.

Eti timu inamkataa mdhamini aliyeletwa na mwenye mpira wake, TFF, umeona wapi hapa duniani ikitokea hii? TFF wanaonekana wepesi sana na watu wetu. Hii inaharibu mpira wetu kwakuwa INA set presidency kwa timu nyingine kwenye ligi.
 
Tunaona sasa TFF inavyopata shida na Simba na Yanga kiasi cha kupoteza uelekeo.

Tunaona yanga wakigomea mechi yake na simba kwa kosa la kubadilishwa muda wa mechi, tunaona Yanga wakiigomea TFF kuvaa nembo ya mdhamini yenye Rangi nyekundu. Sasa hivi tunaona simba ikigomea udhamini wa GSM, tunamuona Barbara CEO wa simba akitupa kadi ya mwaliko wa VVIP kwenye mechi ya simba vs yanga huku akifanya fujo mbele za watu kuidhalilisha TFF. Yaani kajiona mkubwa kuliko TFF.

TFF inavuna ilichopanda kwenye mpira. Mbwa sasa anaawafuata hadi msikitini. Viongozi wa TFF wanashabikia timu zao badala ya kufuata kanuni zote za mpira kama zilivyo TFF, Cecafa, CAF na FIFA. Wanadharaulika sasa na thamani yao inafahamika sasa.

Eti timu inamkataa mdhamini aliyeletwa na mwenye mpira wake, TFF, umeona wapi hapa duniani ikitokea hii? TFF wanaonekana wepesi sana na watu wetu. Hii inaharibu mpira wetu kwakuwa INA set presidency kwa timu nyingine kwenye ligi.

Hizi akili ni za kiutopolo kabisa
 
TFF miaka 4 nyuma ilikuwa na mahaba na simba (lini umewahi sikia timu Ina viporo 10+) baada ya ujio wa gsm na kuweka donge nono TFF kadata (malaya tu) hajui aende wap? Fedha ya gsm imempoteza anawaona simba kama nyau tu
 
Tunaona sasa TFF inavyopata shida na Simba na Yanga kiasi cha kupoteza uelekeo.

Tunaona yanga wakigomea mechi yake na simba kwa kosa la kubadilishwa muda wa mechi, tunaona Yanga wakiigomea TFF kuvaa nembo ya mdhamini yenye Rangi nyekundu. Sasa hivi tunaona simba ikigomea udhamini wa GSM, tunamuona Barbara CEO wa simba akitupa kadi ya mwaliko wa VVIP kwenye mechi ya simba vs yanga huku akifanya fujo mbele za watu kuidhalilisha TFF. Yaani kajiona mkubwa kuliko TFF.

TFF inavuna ilichopanda kwenye mpira. Mbwa sasa anaawafuata hadi msikitini. Viongozi wa TFF wanashabikia timu zao badala ya kufuata kanuni zote za mpira kama zilivyo TFF, Cecafa, CAF na FIFA. Wanadharaulika sasa na thamani yao inafahamika sasa.

Eti timu inamkataa mdhamini aliyeletwa na mwenye mpira wake, TFF, umeona wapi hapa duniani ikitokea hii? TFF wanaonekana wepesi sana na watu wetu. Hii inaharibu mpira wetu kwakuwa INA set presidency kwa timu nyingine kwenye ligi.
Very tru...lkn ndo ivyo UKWELI MCHUNGU,leo nimeona mabango ya GSM mechi ya mtibwa sijui chamanzi yatakuwepo?
 
Tunaona sasa TFF inavyopata shida na Simba na Yanga kiasi cha kupoteza uelekeo.

Tunaona yanga wakigomea mechi yake na simba kwa kosa la kubadilishwa muda wa mechi, tunaona Yanga wakiigomea TFF kuvaa nembo ya mdhamini yenye Rangi nyekundu. Sasa hivi tunaona simba ikigomea udhamini wa GSM, tunamuona Barbara CEO wa simba akitupa kadi ya mwaliko wa VVIP kwenye mechi ya simba vs yanga huku akifanya fujo mbele za watu kuidhalilisha TFF. Yaani kajiona mkubwa kuliko TFF.

TFF inavuna ilichopanda kwenye mpira. Mbwa sasa anaawafuata hadi msikitini. Viongozi wa TFF wanashabikia timu zao badala ya kufuata kanuni zote za mpira kama zilivyo TFF, Cecafa, CAF na FIFA. Wanadharaulika sasa na thamani yao inafahamika sasa.

Eti timu inamkataa mdhamini aliyeletwa na mwenye mpira wake, TFF, umeona wapi hapa duniani ikitokea hii? TFF wanaonekana wepesi sana na watu wetu. Hii inaharibu mpira wetu kwakuwa INA set presidency kwa timu nyingine kwenye ligi.
Suala la mkataba wa TFF na GSM hakuna duniani suala kama hilo, GSM anaizamini Yanga, na timu zingine 2 ndani ya ligi moja halikubaliki ni mgongano wa maslahi ni hapo match fixing inaweza tokea, hafu tena GSM anataka kuzamini ligi hapo haiko sawa kabisa kama anataka azamini ligi ajitoe kuzamimlni vilabu
 
Mimi ni mpenda mpira tu nchini, sijali sana usimba na uyanga. Eti nchi ndogo kama hii TFF inaruhusu wachezaji 12 wa kigeni kila timu. Yaani 12x16 . ligi imejaa wacongo
Nchi ndogo kivipi,tanzania sio ndogo
 
Huwa nasema sana na narudia wanaoaribu mpira wa bongo ni washabiki wa Simba na Yanga. Mtoa mada ushasomeka kbsa upo upande gani
 
Tunaona sasa TFF inavyopata shida na Simba na Yanga kiasi cha kupoteza uelekeo.

Tunaona yanga wakigomea mechi yake na simba kwa kosa la kubadilishwa muda wa mechi, tunaona Yanga wakiigomea TFF kuvaa nembo ya mdhamini yenye Rangi nyekundu. Sasa hivi tunaona simba ikigomea udhamini wa GSM, tunamuona Barbara CEO wa simba akitupa kadi ya mwaliko wa VVIP kwenye mechi ya simba vs yanga huku akifanya fujo mbele za watu kuidhalilisha TFF. Yaani kajiona mkubwa kuliko TFF.

TFF inavuna ilichopanda kwenye mpira. Mbwa sasa anaawafuata hadi msikitini. Viongozi wa TFF wanashabikia timu zao badala ya kufuata kanuni zote za mpira kama zilivyo TFF, Cecafa, CAF na FIFA. Wanadharaulika sasa na thamani yao inafahamika sasa.

Eti timu inamkataa mdhamini aliyeletwa na mwenye mpira wake, TFF, umeona wapi hapa duniani ikitokea hii? TFF wanaonekana wepesi sana na watu wetu. Hii inaharibu mpira wetu kwakuwa INA set presidency kwa timu nyingine kwenye ligi.
Huna unachokijua wewe, huko uingereza timu zinaigomea FA mara kibao. Kipindi Newcastle inataka kununuliwa na Bin Salman timu ziligoma na FA ikanywea na kusitisha ununuzi wake kwa muda hadi uchunguzi ufanyike. La Liga mwaka juzi kama sikosei ilitaka kuingia mkataba na kampuni ya kimarekani ili baadhi ya mechi zikachezwe US, timu zikaukataa. Na juzi tu, Real Madrid, Barcelona na Athletic Bilbao zimegomea mkataba baina ya laliga na kampuni ya CVC, wanatarajia kufhngua kesi. Kwahiyo kama wewe ni mbumbumbu, baki na umbumbumbu wako, usilazimishe wengine waungane na wewe.
 
Huna unachokijua wewe, huko uingereza timu zinaigomea FA mara kibao. Kipindi Newcastle inataka kununuliwa na Bin Salman timu ziligoma na FA ikanywea na kusitisha ununuzi wake kwa muda hadi uchunguzi ufanyike. La Liga mwaka juzi kama sikosei ilitaka kuingia mkataba na kampuni ya kimarekani ili baadhi ya mechi zikachezwe US, timu zikaukataa. Na juzi tu, Real Madrid, Barcelona na Athletic Bilbao zimegomea mkataba baina ya laliga na kampuni ya CVC, wanatarajia kufhngua kesi. Kwahiyo kama wewe ni mbumbumbu, baki na umbumbumbu wako, usilazimishe wengine waungane na wewe.
Utopox ajue nini sasa.
 
Suala la mkataba wa TFF na GSM hakuna duniani suala kama hilo, GSM anaizamini Yanga, na timu zingine 2 ndani ya ligi moja halikubaliki ni mgongano wa maslahi ni hapo match fixing inaweza tokea, hafu tena GSM anataka kuzamini ligi hapo haiko sawa kabisa kama anataka azamini ligi ajitoe kuzamimlni vilabu
Fly Emirates inavaliwa na timu ngapi huko Ulaya? Je, timu hizo hazikutani kwenye ligi zao, UEFA, nk? mo alikuwa haidhamini Namungo?
 
Kabisa mkuu ameharibu kila kitu

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mimi siko simba wala Yanga kwenye hili, na kama tutaendekeza mpira wa usimba na uyanga kwenye maswala nyeti timu zetu zitashindwa Rivers na Galaxy mechi za kwanza kwanza tu miaka yote. TFF inaziweka mabegani mwake timu mbili tu kwenye ligi na kuzipatia ushindi usiostahili kwenye ligi, huku ni kujidanganya sisi wenyewe mbele ya mashindano ya CAF. Timu inafikishwa robo finali na TFF kwa kupewa viporo 9 kwenye ligi, huu ni upuuzi sawa na upuuzi mwingine, uliona wapi duniani kote? Hizo timu nne za upendeleo zinazopatikana kwa timu yetu kufikishwa robo finali na TFF hazina ubora, zinashindwa kufua dafu kwenye mashindano pamoja na timu yenyewe iliyofika robo finali.
 
Back
Top Bottom