TFF iwaandikie barua CAF kupinga kuchezeshwa mechi zetu za Afcon qualifier na waamuzi wabovu

TFF iwaandikie barua CAF kupinga kuchezeshwa mechi zetu za Afcon qualifier na waamuzi wabovu

Manula akiwa chini kalala kwa maumivu refarii aliuchukua mpira kutoka kwa kipa na kupuliza kipenga cha kumaliza mpira hii imekaaje?
Refa alipaswa kumpa kadi kwanza mchezaji wa Niger aliemuumiza Manula ndo amalize mpira. Refa yule ana roho ya shetani alituchukia saana Taifa Stars
 
Unajiona umeongea ponti kumbe umeandika utumbo hapa.
Mchezaji anaekaa benchi kwenye timu bora ni bora kuliko anaeanza kwenye timu za kawaida. Wachezaji kibao wanao kaa benchi pale Al ahly ni bora kuliko wanaoanza kwenye klabu ya Simba au Yanga.

Kuitwa timu ya taifa bila kuwa na klabu sio kitu kigeni. Kama huelewi vitu vidogo kama hivi bora ushabikie rede.
 
Uchezeshaji ule ndio wanaochezeshewa timu ndogo ndogo zinapokutana na Simba au Yanga NBC
Kwa iyo Niger ni timu kubwa kuliko Tanzania?? Chukua hiyo kula akili ikae sawa [emoji529][emoji529][emoji529]
 
wote mnaumia baada ya timu kutopata ushindi. Je maandalizi yake mlifuatilia?wakati wa maandalizi mlikwa busy na wabunge 19 wa chadema kutimuliwa chamani. leo mnaadhilika mnapiga kelele je maandalzi ya timu mnafuatilia au bado siasa ni bora kuliko soka kwenu?
 
Huna point. Kukaa benchi kwenye klabu uliopo haimaanishi huna kiwango kuliko wanaonza klabu nyingine. Vile vile kutokuwa na timu sio sababu ya kutoitwa timu ya taifa.
Mkuu kuna utimamu wa mchezo pia
Unaweza ukawa na kiwango kizuri ila match fitness doro
 
Refa alipaswa kumpa kadi kwanza mchezaji wa Niger aliemuumiza Manula ndo amalize mpira. Refa yule ana roho ya shetani alituchukia saana Taifa Stars
Tukubali kitu kimoja wachezaji wetu hawana nidhamu.Hasa wale waliozoea sifa za wachambuzi wa Mchongo.
 
3
Mkuu kuna utimamu wa mchezo pia
Unaweza ukawa na kiwango kizuri ila match fitness doro
Kwa mchezaji anaekaa benchi anapata fitness kupitia training, kwa mchezaji hasie na klabu anaweza pata fitness kwa kufanya training na klabu yoyote atakayo omba.
Mchezaji anaekaa benchi Watford yuko fit kuliko anae anza kwenye klabu za yanga na simba.

Point yangu ni kwamba mchezaji anae kaa benchi sio sababu ya kutoitwa timu ya taifa, jiulize anakaa benchi kwenye klabu ipi? Vile vile hasie na klabu jiulize hana klabu kwa muda gani na je anafanya training?
 
Naona baadhi ya watu wanatetea Msuva kucheza nabaki nashangaa!

Kila aliyeitizama mechi aliona kabisa Msuva kachuja. Japo alikuwa anachezewa rafu ila msuva alikuwa anataka kukokota mpira ambapo akili ilikuwa inataka kufanya jambo ila mwili ulikuwa unagoma.

Binafsi ningekuwa kocha, ningemtoa Msuva na kumuingiza Kibu ili asaidiane na Samata + Mpole, tungepata goli la pili.
 
Mchezaji anaekaa benchi kwenye timu bora ni bora kuliko anaeanza kwenye timu za kawaida. Wachezaji kibao wanao kaa benchi pale Al ahly ni bora kuliko wanaoanza kwenye klabu ya Simba au Yanga.

Kuitwa timu ya taifa bila kuwa na klabu sio kitu kigeni. Kama huelewi vitu vidogo kama hivi bora ushabikie rede.
Akili zako unqzijua mwenyewe+
 
Back
Top Bottom