PSEUDOPODIA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 392
- 798
Mbona kama unalalamika ki styleNatabiri lawama ya kwanza kabisa itakuwa hii:-
TFF kwanini imeweka ngao ya hisani kugombaniwa na timu nne. Wameona kila mwaka tunabeba sisi wakaamua kuleta hujuma.
Baada ya lawama hiyo , lawama zinazifata ni za ratiba, marefa na viporo! Niko palee nimekaa
Akikujibu nitagAwali ya yote kwanza tuambiwe je GSM pesa anazo au zimekata? Maana watu hawachelewi kulalamika GSM wananunua timu pinzani, mara GSM anafanya timu fulani ikamiwe
Mnunue timu kwa hela gan mliyonayo??Awali ya yote kwanza tuambiwe je GSM pesa anazo au zimekata? Maana watu hawachelewi kulalamika GSM wananunua timu pinzani, mara GSM anafanya timu fulani ikamiwe
Ok bila shaka season hii hakutakua na malalamiko ya kipuuzi tena.Mnunue timu kwa hela gan mliyonayo??
Kuna jamaa jana alikua ana angalia event akasema tayari msimu huu tumejinyonga wenyeweKitendo alichokifanya tunda man kina nipa wasi wasi sana sijui nani huwa anamualika yule mjinga mwaka jana katia gundu na mwaka huu pia ngoja tuone matokeo yke.
Wametegwa wakategeka.Ok bila shaka season hii hakutakua na malalamiko ya kipuuzi tena.
Malalamiko FC wanajulikanaOk bila shaka season hii hakutakua na malalamiko ya kipuuzi tena.
Malalamiko FCSawa.
Ila malalamiko ni nani?
Mtaje
Ila we jamaa kwa kuongea kinyume nakukubali! Toka ukiwa shule hadi leo hujaacha tu bado! Mi nimekuelewa jamaa [emoji23][emoji23]timu ya Simba bila mipango nje ya uwanja Huwa haiendi
Tayari kumekucha, tunaposema hawa gongowazi hawana akili mtuelewe.Sawa.
Ila malalamiko ni nani?
Mtaje