PSEUDOPODIA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 392
- 798
Natabiri lawama ya kwanza kabisa itakuwa hii:-
TFF kwanini imeweka ngao ya hisani kugombaniwa na timu nne. Wameona kila mwaka tunabeba sisi wakaamua kuleta hujuma.
Baada ya lawama hiyo , lawama zinazifata ni za ratiba, marefa na viporo! Niko palee nimekaa
TFF kwanini imeweka ngao ya hisani kugombaniwa na timu nne. Wameona kila mwaka tunabeba sisi wakaamua kuleta hujuma.
Baada ya lawama hiyo , lawama zinazifata ni za ratiba, marefa na viporo! Niko palee nimekaa