TFF, June 2 Mtaleta maafa Manyara.

TFF, June 2 Mtaleta maafa Manyara.

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Watu Wenye busara huyaangalia madhara ya matokeo na kuyakinga.
Wakati mnapanga fainali ya CRDB federation cup kufanyika Manyara wiki mbili zilizopita ni Wazi hamkuzingatia madhara ya matokeo ya tukio (probable consequences) la fainali kubwa kama hiyo kufanyika kwenye uwanja mdogo kama ule na bado mnataka watu wakashuhudie. Nitawaelewa kama mtazuia kabisa mashabiki kwenda Manyara, lakini kama mtauza tiketi na kuzitaka timu zihamasishe mashabiki wakazishangilie, mtaua watu.
NI akili ndogo Sana mmetumia kuchagua uwanja ule utumike Kwa Mechi ya fainali.
Tunajua lengo ni kusambaza football nchi nzima, lakini hiki Kisingizio kisiwe chanzo cha maafa.
Bado mna wiki 2 za kusahisha makosa yenu, fanyeni hivyo Kwa mustakabali wa maisha ya Watanzania.
 
Watu Wenye busara huyaangalia madhara ya matokeo na kuyakinga.
Wakati mnapanga fainali ya CRDB federation cup kufanyika Manyara wiki mbili zilizopita ni Wazi hamkuzingatia madhara ya matokeo ya tukio (probable consequences) la fainali kubwa kama hiyo kufanyika kwenye uwanja mdogo kama ule na bado mnataka watu wakashuhudie. Nitawaelewa kama mtazuia kabisa mashabiki kwenda Manyara, lakini kama mtauza tiketi na kuzitaka timu zihamasishe mashabiki wakazishangilie, mtaua watu.
NI akili ndogo Sana mmetumia kuchagua uwanja ule utumike Kwa Mechi ya fainali.
Tunajua lengo ni kusambaza football nchi nzima, lakini hiki Kisingizio kisiwe chanzo cha maafa.
Bado mna wiki 2 za kusahisha makosa yenu, fanyeni hivyo Kwa mustakabali wa maisha ya Watanzania.
Kuboresha miundombinu siyo kipaumbele Chao
 
Hakuna uwanja humu.

Ilibidi uwanja uwe na sifa kadhaa ili upate nafasi ya kuchezea fainali. At least watu 30k waliokaa, huu ungefaa faa kimtindo.
IMG-20240521-WA0006.jpg
 
Najimu Mussa ( yule mido wa Tabora) Kazaliwa uwanja huo wa kwaraa... Tokea pale kwaraa sec school hadi singe sec school

Wananchi Tukutane Tanzanite Kwaraa Stadium
 
Watu Wenye busara huyaangalia madhara ya matokeo na kuyakinga.
Wakati mnapanga fainali ya CRDB federation cup kufanyika Manyara wiki mbili zilizopita ni Wazi hamkuzingatia madhara ya matokeo ya tukio (probable consequences) la fainali kubwa kama hiyo kufanyika kwenye uwanja mdogo kama ule na bado mnataka watu wakashuhudie. Nitawaelewa kama mtazuia kabisa mashabiki kwenda Manyara, lakini kama mtauza tiketi na kuzitaka timu zihamasishe mashabiki wakazishangilie, mtaua watu.
NI akili ndogo Sana mmetumia kuchagua uwanja ule utumike Kwa Mechi ya fainali.
Tunajua lengo ni kusambaza football nchi nzima, lakini hiki Kisingizio kisiwe chanzo cha maafa.
Bado mna wiki 2 za kusahisha makosa yenu, fanyeni hivyo Kwa mustakabali wa maisha ya Watanzania.
Hawajajifunza kilichotokea Arusha IHEFU vs Yanga. Waandae Askari wa kutosha wenye mabomu ya machozi.
 
Daah! kama ni kweli sio salama uwanja mdogo sana ule . Kwanini hawajifunzi hata kwa yaliyotokea juzi Arusha match ya nusu fainali Yanga Vs Ihefu? Kuna vitu vingine vinaepukika ila tunafanya kama hatujui madhara yake. Waliangalie hilo vizuri.
 
Daah! kama ni kweli sio salama uwanja mdogo sana ule . Kwanini hawajifunzi hata kwa yaliyotokea juzi Arusha match ya nusu fainali Yanga Vs Ihefu? Kuna vitu vingine vinaepukika ila tunafanya kama hatujui madhara yake. Waliangalie hilo vizuri.
Navishangaa vyombo vya Dola hususan Polisi àmbao ndio wanapata kazi kubwa na lawama pindi maafa yakitokea.
 
Watu Wenye busara huyaangalia madhara ya matokeo na kuyakinga.
Wakati mnapanga fainali ya CRDB federation cup kufanyika Manyara wiki mbili zilizopita ni Wazi hamkuzingatia madhara ya matokeo ya tukio (probable consequences) la fainali kubwa kama hiyo kufanyika kwenye uwanja mdogo kama ule na bado mnataka watu wakashuhudie. Nitawaelewa kama mtazuia kabisa mashabiki kwenda Manyara, lakini kama mtauza tiketi na kuzitaka timu zihamasishe mashabiki wakazishangilie, mtaua watu.
NI akili ndogo Sana mmetumia kuchagua uwanja ule utumike Kwa Mechi ya fainali.
Tunajua lengo ni kusambaza football nchi nzima, lakini hiki Kisingizio kisiwe chanzo cha maafa.
Bado mna wiki 2 za kusahisha makosa yenu, fanyeni hivyo Kwa mustakabali wa maisha ya Watanzania.
HUYU MSOMALI AMEBALANCE WINGI WA MASHABIKI TU... AMEONA AZAM INGEMEZWA KWA SABABU INA MASHABIKI WACHACHE AKAONA BORA WAENDE HUKO......
 
Sasa hapa utaona tuna viongozi wa mpira wa miguu kweli!! Yaani dunia ya leo unaipeleka fainali kama hiyo ya Shirikisho kwenye uwanja wa ndondo wa watu wachache kukaa na wengine kusimama!!
Ni kama viongozi wa TFF wanaona soka letu tumejifungia ndani hakuna wa nje wanaotutazama. Mpira wa Tanzania unafatiliwa sana na waandishi wa habari na wadau wa mpira toka nje ya nchi hivyo Karia ajifunze kuthaminisha mpira wetu katika angle zote ikiwemo miundombinu, matangazo yaliyobora na soka linalovutia na lenye upinzani. Ile siku ya mechi ya derby ya Simba vs Yanga, watu kutoka mataifa mbalimbali walitusifia sana niliona Ghana, Kenya na Uganda wanashangaa ubora wa pitch, video production na soka la kuvutia kutoka vilabu vya Tanzania. Lakini viongozi wa TFF wao wanataka kuhakikisha wanaofatilia soka nje ya Tanzania waone tulisifiwa kimakosa.
 
Watu Wenye busara huyaangalia madhara ya matokeo na kuyakinga.
Wakati mnapanga fainali ya CRDB federation cup kufanyika Manyara wiki mbili zilizopita ni Wazi hamkuzingatia madhara ya matokeo ya tukio (probable consequences) la fainali kubwa kama hiyo kufanyika kwenye uwanja mdogo kama ule na bado mnataka watu wakashuhudie. Nitawaelewa kama mtazuia kabisa mashabiki kwenda Manyara, lakini kama mtauza tiketi na kuzitaka timu zihamasishe mashabiki wakazishangilie, mtaua watu.
NI akili ndogo Sana mmetumia kuchagua uwanja ule utumike Kwa Mechi ya fainali.
Tunajua lengo ni kusambaza football nchi nzima, lakini hiki Kisingizio kisiwe chanzo cha maafa.
Bado mna wiki 2 za kusahisha makosa yenu, fanyeni hivyo Kwa mustakabali wa maisha ya Watanzania.
TFF wameisikia na kuielewa concern yako Mkuu. Mechi ya CRDB Confederation Cup Azam vs Yanga sasa itapigwa katika Uwanja wa New Amaan, Zanzibar tarehe 02 Juni, 2024.
 
Back
Top Bottom