TFF, June 2 Mtaleta maafa Manyara.

TFF, June 2 Mtaleta maafa Manyara.

Hatimaye.
20240522_142856.jpg
 
TFF wameisikia na kuielewa concern yako Mkuu. Mechi ya CRDB Confederation Cup Azam vs Yanga sasa itapigwa katika Uwanja wa New Amaan, Zanzibar tarehe 02 Juni, 2024.
Hii si sawa. Crdbfc siyo ya muungano. Kupeleka fainal kwa wala urojo ni dharàu kubwa kwa watanganyika.
Fainali inastahili ipigwe kwa Mkapa.
 
Back
Top Bottom