TFF, Karia na Serikali inaonekana kuihujumu Mwadui

TFF, Karia na Serikali inaonekana kuihujumu Mwadui

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Kwa mtu aliyeangalia mechi ya jana lile goli la Tatu la Yanga lilikuwa Offside ya wazi kabisa. Ya wazi kabisa bila utata. Lakini Tunaona jinsi ambavyo TFF inavyoshirikiana na Yanga kuzihujumu team ndogo kama Mwadui.

Mwadui jana wameupiga mwingi sana wamekuja angushwa na rushwa katika mpira. Ilikuwa ile match angalau waondoke na point moja baada ya kukosa 3. Lakini zilifanyika figisu za ajabu sana.

Kwa namna hii Yanga itaendelea kubaki kuwa ni team mbovu WakubeBWA FC. au Middle Finger FC.
 
Mbu mbu mbu huwa hawajitambui ata jambo dogo kama hili umeshindwa kuelewa,, Hebu jifunze Kwa wanaojua mpira ili ulinde heshima yako
 
Mbu mbu mbu huwa hawajitambui ata jambo dogo kama hili umeshindwa kuelewa,, Hebu jifunze Kwa wanaojua mpira ili ulinde heshima yako
Nyani/mbwa huwa hawana uelewa kama wa binadamu. Hubweka tu kwa mujibu wa Luc Eymael 😁😁😁😁😁😁😁
 
It is not an offense kuwa offside position.
It only becomes and offense once a player becomes actively involved.
So they werent involved?how was the goal scored?coz even the one who scored was offside. I know we love yanga. But that doesnt mean we need justify everything in order to win. Lets agree sometimes that mistakes happen on our favor too.
 
So they werent involved?how was the goal scored?coz even the one who scored was offside. I know we love yanga. But that doesnt mean we need justify everything in order to win. Lets agree sometimes that mistakes happen on our favor too.
Bro that is not offside...go read the offside rule. Goli limefungwa second phase of play. The first phase of play was tuisilia receiving the ball and when he did receive it he was onside. For the second phase all waziri had to do was to remain behind the ball which he did.

In essence what it means is that u can always have a player in an offside position but ensure that he doesnt get involved in the first phase of play...yaani mchezaji mwengine aivunje offside before he gets involved.

I just dont remember which game it was kwenye champions league ilitokea similar situation. Na mie nilibisha kama wewe ndipo nikaeleweshwa na fifa referee why the goal was allowed.

So i can understand where u r coming from becoz in reality unaweza sema kuwa hao watatu eventually wamekuwa involved.
Unfortunately thats how the law is.
 
Lile goal la pili na mtibwa na yanga u20 lilikuwa offside thahiri mbona hulizungumzii
 
Sheria ya Offside inawachanganya wengi sana wakiwemo na waamuzi wenyewe wa mpira.

Pale mchezaji anapopiga mpira tu hata kama mpira haujaenda one millimeter from the spot, from that point the advancing players are NOT deemed to be offside when on the rivals' half regardless of their number.
 
Hao mwadui hata wangeshinda wangesaidika
Na nini
 
Hao mwadui hata wangeshinda wangesaidika
Na nini
Na ndo maana ushindi wao tumepewa sisi. Hapo nmekuelewa. Ingawa ni haki yao kama walipaswa kushinda wangeshinda tu sababu ni haki yao. Kwani yanga itafaidika na nini?
 
Lile goal la pili na mtibwa na yanga u20 lilikuwa offside thahiri mbona hulizungumzii
Mkuu .. tumeumbwa tofauti. Mimi binafsi huwa siwezi zungumzia kitu ambacho sijaona. Mnaoweza hivyo sijui mnawezaje.inataka moyo sana.
 
So they werent involved?how was the goal scored?coz even the one who scored was offside. I know we love yanga. But that doesnt mean we need justify everything in order to win. Lets agree sometimes that mistakes happen on our favor too.
If you had a slight idea of what is meant of being in an 'offside position', you would have shut up! and put your ushabiki maandazi aside.

If you Google the playback, you will definitely find out that Kissila dribbled the ball closer to the goal line than any other players of both teams (except, of course, the Mwadui's skipper), before unleashing a timely cross pass that resulted into a third goal for Yanga.

By being closest to the goal line, Kissila 'killed' the offside trap. If you will observe soberly, even Mwadui players didn't dispute of a goal, for they knew it was a clear and tactic goal, lamenting was the best option for them.
 
Kwa mtu aliyeangalia mechi ya jana lile goli la Tatu la Yanga lilikuwa Offside ya wazi kabisa. Ya wazi kabisa bila utata. Lakini Tunaona jinsi ambavyo TFF inavyoshirikiana na Yanga kuzihujumu team ndogo kama Mwadui.

Mwadui jana wameupiga mwingi sana wamekuja angushwa na rushwa katika mpira. Ilikuwa ile match angalau waondoke na point moja baada ya kukosa 3. Lakini zilifanyika figisu za ajabu sana.

Kwa namna hii Yanga itaendelea kubaki kuwa ni team mbovu WakubeBWA FC. au Middle Finger FC.
Tuisila kisinda alishaivunja offside kwasababu alikuwa mbele ya mabeki wote...

So, that was a clear goal
 
Back
Top Bottom