SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wangepata point tatu na Yanga ndiyo wangekuwa wanaiaga nafasi ya pili.Hao mwadui hata wangeshinda wangesaidika
Na nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangepata point tatu na Yanga ndiyo wangekuwa wanaiaga nafasi ya pili.Hao mwadui hata wangeshinda wangesaidika
Na nini
Hawa viumbe ndiyo maana wanaitwa mbumbumbu! Sheria za mpira hawazijui, kazi ni kulialia tu.If you had a slight idea of what is meant of being in an 'offside position', you would have shut up! and put your ushabiki maandazi aside.
If you Google the playback, you will definitely find out that Kissila dribbled the ball closer to the goal line than any other players of both teams (except, of course, the Mwadui's skipper), before unleashing a timely cross pass that resulted into a third goal for Yanga.
By being closest to the goal line, Kissila 'killed' the offside trap. If you will observe soberly, even Mwadui players didn't dispute of a goal, for they knew it was a clear and tactic goal, lamenting was the best option for them.
Kama mshindi wa pili wanaangalia alfabeti badala ya pointi Azam atakuwa nafasi ya 2 na Yanga ya 3Yanga tulieni mmebebwa japo haiwasaidii mtamaliza ligi nafasi ya 3.
Kama unaijua vizuri sheria ya kuotea, hebu tuambie nani kaotea hapo??Kwa mtu aliyeangalia mechi ya jana lile goli la Tatu la Yanga lilikuwa Offside ya wazi kabisa. Ya wazi kabisa bila utata. Lakini Tunaona jinsi ambavyo TFF inavyoshirikiana na Yanga kuzihujumu team ndogo kama Mwadui.
Mwadui jana wameupiga mwingi sana wamekuja angushwa na rushwa katika mpira. Ilikuwa ile match angalau waondoke na point moja baada ya kukosa 3. Lakini zilifanyika figisu za ajabu sana.
Kwa namna hii Yanga itaendelea kubaki kuwa ni team mbovu WakubeBWA FC. au Middle Finger FC.
Luc Eymael akasema wanayanga ni Nyani na Mbwa. Hawana akili. Mkamfukuza. Wakati alisema kweli.Hawa viumbe ndiyo maana wanaitwa mbumbumbu! Sheria za mpira hawazijui, kazi ni kulialia tu.