TFF, Karia na Serikali inaonekana kuihujumu Mwadui

Hawa viumbe ndiyo maana wanaitwa mbumbumbu! Sheria za mpira hawazijui, kazi ni kulialia tu.
 
Kama unaijua vizuri sheria ya kuotea, hebu tuambie nani kaotea hapo??

 
Hawa viumbe ndiyo maana wanaitwa mbumbumbu! Sheria za mpira hawazijui, kazi ni kulialia tu.
Luc Eymael akasema wanayanga ni Nyani na Mbwa. Hawana akili. Mkamfukuza. Wakati alisema kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…