Tetesi: TFF kuburuzwa FIFA na Yanga kwa kuahirisha mchezo halali wa ligi bila sababu maalum

Tetesi: TFF kuburuzwa FIFA na Yanga kwa kuahirisha mchezo halali wa ligi bila sababu maalum

Huyo jamaa anaitwa Patrick anazidi kuwapoteza.

Hakuna mwanasheria wa namna ile.

Kwanza mkienda tu FIFA mkataja jina la Club yenu FIFA waki search mwenye database zao watakutana na kesi zenu za madai na udhulumishi.

Kufikia hapo mtaonekana ni Club ya wahuni na haifai kusikikizwa madai yake mpaka pale watapomalizana na madeni wanayodaiwa.
Wewe ni miongoni mwa wale aliowasema Rage mpo wengi uko umbumbuni,,ata ujielewi unachokiongea!
 
Simba imefanya kitendo cha kijinga sana kwa kuikimbia mechi muhimu kama hii, kwa sababu zao za kipuuzi.
Mm nikajua nyinyi mnacheza? Maana nimesikia Yanga wapo uwanjani
 
Wewe ni miongoni mwa wale aliowasema Rage mpo wengi uko umbumbuni,,ata ujielewi unachokiongea!
Aliowasema Rage hawa hapa wametoa na line up.

Halafu walivyokuwa na roho mbaya hadi kwenye mechi ya scam bado eti Chama wamemuweka bench


Screenshot_20250308-183916.png
 
Huyo jamaa anaitwa Patrick anazidi kuwapoteza.

Hakuna mwanasheria wa namna ile.

Kwanza mkienda tu FIFA mkataja jina la Club yenu FIFA waki search mwenye database zao watakutana na kesi zenu za madai na udhulumishi.

Kufikia hapo mtaonekana ni Club ya wahuni na haifai kusikikizwa madai yake mpaka pale watapomalizana na madeni wanayodaiwa.
Sijaona sheria ya fifa inasema club ikileta malalamiko iwe searched kwanza kuangalia matukio ya club ndipo waiskilize labda km utaratibu mpya.

Nachojua Yanga imeingiza timu uwanjani hayo mengine labda board ya ligi ilete uhuni
 
Habari za ndani zinaeleza, Uongozi wa club ya Young africans imeketi na kuamua kuipeleka TFF katika mahakama za juu za FIFA kufuatia shirikisho hilo kuufuta mchezo namba 148 wa Ligi kuu bila sababu za msingi kinyune na sheria na taratibu za Ligi kuu bara.

Kwa mujibu wa kanuni na taratibu za Ligi, sababu pekee zinazoweza kusababisha mchezo kuahirishwa ni kifo cha mchezaji, hali mbaya ya hewa, au sababu kubwa kulingana na itakavyobainika. Nje ya hapo kanuni zinalazimu mchezo kuchezwa kisha kama kuna dosari au changamoto yoyote hatua huchukuliwa baada ya mchezo husika ikiwemo kutozwa faini au wahusika kufungiwa.

Hii italeta doa kubwa katika Ligi ya Tanzania.
Kwanini hawaendi kushitaki caf? Kule bosi ni injinia atawasaidia kushinda kesi
 
Kwani hii mechi imeahirishwa kwa kila timu kupewa barua rasmi au ni matamko ya redioni.Hii ni dhahama kubwa
 
Sijaona sheria ya fifa inasema club ikileta malalamiko iwe searched kwanza kuangalia matukio ya club ndipo waiskilize labda km utaratibu mpya.

Nachojua Yanga imeingiza timu uwanjani hayo mengine labda board ya ligi ilete uhuni
Umeandika kwa maumivu. Una umri gani kijana?
 
Habari za ndani zinaeleza, Uongozi wa club ya Young africans imeketi na kuamua kuipeleka TFF katika mahakama za juu za FIFA kufuatia shirikisho hilo kuufuta mchezo namba 148 wa Ligi kuu bila sababu za msingi kinyune na sheria na taratibu za Ligi kuu bara.

Kwa mujibu wa kanuni na taratibu za Ligi, sababu pekee zinazoweza kusababisha mchezo kuahirishwa ni kifo cha mchezaji, hali mbaya ya hewa, au sababu kubwa kulingana na itakavyobainika. Nje ya hapo kanuni zinalazimu mchezo kuchezwa kisha kama kuna dosari au changamoto yoyote hatua huchukuliwa baada ya mchezo husika ikiwemo kutozwa faini au wahusika kufungiwa.

Hii italeta doa kubwa katika Ligi ya Tanzania.
Duh kweli nimeamini utopolo ni utopolo
 
Sijaona sheria ya fifa inasema club ikileta malalamiko iwe searched kwanza kuangalia matukio ya club ndipo waiskilize labda km utaratibu mpya.

Nachojua Yanga imeingiza timu uwanjani hayo mengine labda board ya ligi ilete uhuni
Kwenye sheria za kimahakama background records huwa zina play part kubwa kwenye maamuzi ya currently kesi.

Kuna hukumu zinaweza kutolewa zikawa kubwa kuliko kosa ambalo umeshtakiwa kwasababu tu ya records zako za nyuma zinazoonesha kuwa wewe ni mtu wa tabia hiyo.

Kama wewe umekuwa mwizi, kibaka, sugu ambaye watu wengi wamekufungulia mashtaka then ikatokea siku umempeleka mtu mahakamani kwasababu kakudhukumu pesa yako.

Mahakama inaweza kupitia records za huyo uliyemlalsmikia na kukuta hana records za utapeli wala kosa lolote.

Halafu wakaja kuangalia na kwako wakakuta kuna lundo la kesi watu wakikushtaki kwa utapeli, wizi nk. Lazima mahakama ianze kushughulika na wewe kwanza.
 
Aliowasema Rage hawa hapa wametoa na line up.

Halafu walivyokuwa na roho mbaya hadi kwenye mechi ya scam bado eti Chama wamemuweka bench


View attachment 3263846
Line up lazima watoe wewe uwezi kuelewa wanachokifanya hapo ndio maana mangungu anawaongoza kiwepesi,,auna D 2 na auwezi kuelewa kamwe!
 
Line up lazima watoe wewe uwezi kuelewa wanachokifanya hapo ndio maana mangungu anawaongoza kiwepesi,,auna D 2 na auwezi kuelewa kamwe!
Line up wanatoa ili wafanye nini?

Marefa watakaochezesha hiyo mechi watatokea wapi ikiwa wenye mamlaka na marefa ndio hao wamesema hawataki kuona kunguni yeyote hapo Lupaso?
 
Habari za ndani zinaeleza, Uongozi wa club ya Young africans imeketi na kuamua kuipeleka TFF katika mahakama za juu za FIFA kufuatia shirikisho hilo kuufuta mchezo namba 148 wa Ligi kuu bila sababu za msingi kinyune na sheria na taratibu za Ligi kuu bara.

Kwa mujibu wa kanuni na taratibu za Ligi, sababu pekee zinazoweza kusababisha mchezo kuahirishwa ni kifo cha mchezaji, hali mbaya ya hewa, au sababu kubwa kulingana na itakavyobainika. Nje ya hapo kanuni zinalazimu mchezo kuchezwa kisha kama kuna dosari au changamoto yoyote hatua huchukuliwa baada ya mchezo husika ikiwemo kutozwa faini au wahusika kufungiwa.

Hii italeta doa kubwa katika Ligi ya Tanzania.
Huko ndio kutamu na madeni waliyoshitakiwa watakuwa wamejipeleka yanga wanajulikana kwa ukorofi wa kutowalipa wachezaji pesa zao!
 
Aliowasema Rage hawa hapa wametoa na line up.

Halafu walivyokuwa na roho mbaya hadi kwenye mechi ya scam bado eti Chama wamemuweka bench


View attachment 3263846
Chama si mnamuabudu nyinyi mbumbumbu.

Kwenu Chama ni zaidi ya Mungu.

Kuna wakati Chama alikuwa anapigwa benchi makolo mkaja juu na kumuwakia kocha mkitaka acheze mfumo unaomfata Chama.

Yanga hatuna umbumbumbu wa kumuabudu mchezaji.
 
Huyo jamaa anaitwa Patrick anazidi kuwapoteza.

Hakuna mwanasheria wa namna ile.

Kwanza mkienda tu FIFA mkataja jina la Club yenu FIFA waki search mwenye database zao watakutana na kesi zenu za madai na udhulumishi.

Kufikia hapo mtaonekana ni Club ya wahuni na haifai kusikikizwa madai yake mpaka pale watapomalizana na madeni wanayodaiwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Line up wanatoa ili wafanye nini?

Marefa watakaochezesha hiyo mechi watatokea wapi ikiwa wenye mamlaka na marefa ndio hao wamesema hawataki kuona kunguni yeyote hapo Lupaso?
Kunguni washakimbia mapema baada ya kuchungulia na kuona dhahama ya kipigo cha 5 mfululizo
 
Chama si mnamuabudu nyinyi mbumbumbu.

Kwenu Chama ni zaidi ya Mungu.

Kuna wakati Chama alikuwa anapigwa benchi makolo mkaja juu na kumuwakia kocha mkitaka acheze mfumo unaomfata Chama.

Yanga hatuna umbumbumbu wa kumuabudu mchezaji.
Mechi yenu ya mwisho na Mc Algier tuliwasikia vilio vyenu
Screenshot_20250308-190743.png
 
Back
Top Bottom