Wewe ni miongoni mwa wale aliowasema Rage mpo wengi uko umbumbuni,,ata ujielewi unachokiongea!Huyo jamaa anaitwa Patrick anazidi kuwapoteza.
Hakuna mwanasheria wa namna ile.
Kwanza mkienda tu FIFA mkataja jina la Club yenu FIFA waki search mwenye database zao watakutana na kesi zenu za madai na udhulumishi.
Kufikia hapo mtaonekana ni Club ya wahuni na haifai kusikikizwa madai yake mpaka pale watapomalizana na madeni wanayodaiwa.
Mm nikajua nyinyi mnacheza? Maana nimesikia Yanga wapo uwanjaniSimba imefanya kitendo cha kijinga sana kwa kuikimbia mechi muhimu kama hii, kwa sababu zao za kipuuzi.
Aliowasema Rage hawa hapa wametoa na line up.Wewe ni miongoni mwa wale aliowasema Rage mpo wengi uko umbumbuni,,ata ujielewi unachokiongea!
Sijaona sheria ya fifa inasema club ikileta malalamiko iwe searched kwanza kuangalia matukio ya club ndipo waiskilize labda km utaratibu mpya.Huyo jamaa anaitwa Patrick anazidi kuwapoteza.
Hakuna mwanasheria wa namna ile.
Kwanza mkienda tu FIFA mkataja jina la Club yenu FIFA waki search mwenye database zao watakutana na kesi zenu za madai na udhulumishi.
Kufikia hapo mtaonekana ni Club ya wahuni na haifai kusikikizwa madai yake mpaka pale watapomalizana na madeni wanayodaiwa.
Kwanini hawaendi kushitaki caf? Kule bosi ni injinia atawasaidia kushinda kesiHabari za ndani zinaeleza, Uongozi wa club ya Young africans imeketi na kuamua kuipeleka TFF katika mahakama za juu za FIFA kufuatia shirikisho hilo kuufuta mchezo namba 148 wa Ligi kuu bila sababu za msingi kinyune na sheria na taratibu za Ligi kuu bara.
Kwa mujibu wa kanuni na taratibu za Ligi, sababu pekee zinazoweza kusababisha mchezo kuahirishwa ni kifo cha mchezaji, hali mbaya ya hewa, au sababu kubwa kulingana na itakavyobainika. Nje ya hapo kanuni zinalazimu mchezo kuchezwa kisha kama kuna dosari au changamoto yoyote hatua huchukuliwa baada ya mchezo husika ikiwemo kutozwa faini au wahusika kufungiwa.
Hii italeta doa kubwa katika Ligi ya Tanzania.
Peleka kinyeo kwa Hersi unataka kanuni nenda kazitafute mwenyewe kwanye tume ya ushindani.Taahira mwingine uyu hapa,,leta kanuni inayozuia kudhamini timu saba?
Umeandika kwa maumivu. Una umri gani kijana?Sijaona sheria ya fifa inasema club ikileta malalamiko iwe searched kwanza kuangalia matukio ya club ndipo waiskilize labda km utaratibu mpya.
Nachojua Yanga imeingiza timu uwanjani hayo mengine labda board ya ligi ilete uhuni
Duh kweli nimeamini utopolo ni utopoloHabari za ndani zinaeleza, Uongozi wa club ya Young africans imeketi na kuamua kuipeleka TFF katika mahakama za juu za FIFA kufuatia shirikisho hilo kuufuta mchezo namba 148 wa Ligi kuu bila sababu za msingi kinyune na sheria na taratibu za Ligi kuu bara.
Kwa mujibu wa kanuni na taratibu za Ligi, sababu pekee zinazoweza kusababisha mchezo kuahirishwa ni kifo cha mchezaji, hali mbaya ya hewa, au sababu kubwa kulingana na itakavyobainika. Nje ya hapo kanuni zinalazimu mchezo kuchezwa kisha kama kuna dosari au changamoto yoyote hatua huchukuliwa baada ya mchezo husika ikiwemo kutozwa faini au wahusika kufungiwa.
Hii italeta doa kubwa katika Ligi ya Tanzania.
Kwenye sheria za kimahakama background records huwa zina play part kubwa kwenye maamuzi ya currently kesi.Sijaona sheria ya fifa inasema club ikileta malalamiko iwe searched kwanza kuangalia matukio ya club ndipo waiskilize labda km utaratibu mpya.
Nachojua Yanga imeingiza timu uwanjani hayo mengine labda board ya ligi ilete uhuni
Line up lazima watoe wewe uwezi kuelewa wanachokifanya hapo ndio maana mangungu anawaongoza kiwepesi,,auna D 2 na auwezi kuelewa kamwe!Aliowasema Rage hawa hapa wametoa na line up.
Halafu walivyokuwa na roho mbaya hadi kwenye mechi ya scam bado eti Chama wamemuweka bench
View attachment 3263846
Mjengee kwenyumanara ajengewe sanam
Line up wanatoa ili wafanye nini?Line up lazima watoe wewe uwezi kuelewa wanachokifanya hapo ndio maana mangungu anawaongoza kiwepesi,,auna D 2 na auwezi kuelewa kamwe!
Huko ndio kutamu na madeni waliyoshitakiwa watakuwa wamejipeleka yanga wanajulikana kwa ukorofi wa kutowalipa wachezaji pesa zao!Habari za ndani zinaeleza, Uongozi wa club ya Young africans imeketi na kuamua kuipeleka TFF katika mahakama za juu za FIFA kufuatia shirikisho hilo kuufuta mchezo namba 148 wa Ligi kuu bila sababu za msingi kinyune na sheria na taratibu za Ligi kuu bara.
Kwa mujibu wa kanuni na taratibu za Ligi, sababu pekee zinazoweza kusababisha mchezo kuahirishwa ni kifo cha mchezaji, hali mbaya ya hewa, au sababu kubwa kulingana na itakavyobainika. Nje ya hapo kanuni zinalazimu mchezo kuchezwa kisha kama kuna dosari au changamoto yoyote hatua huchukuliwa baada ya mchezo husika ikiwemo kutozwa faini au wahusika kufungiwa.
Hii italeta doa kubwa katika Ligi ya Tanzania.
Chama si mnamuabudu nyinyi mbumbumbu.Aliowasema Rage hawa hapa wametoa na line up.
Halafu walivyokuwa na roho mbaya hadi kwenye mechi ya scam bado eti Chama wamemuweka bench
View attachment 3263846
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo jamaa anaitwa Patrick anazidi kuwapoteza.
Hakuna mwanasheria wa namna ile.
Kwanza mkienda tu FIFA mkataja jina la Club yenu FIFA waki search mwenye database zao watakutana na kesi zenu za madai na udhulumishi.
Kufikia hapo mtaonekana ni Club ya wahuni na haifai kusikikizwa madai yake mpaka pale watapomalizana na madeni wanayodaiwa.
Ubayaa ubwelaa!! Poleeee sanaaSimba imefanya kitendo cha kijinga sana kwa kuikimbia mechi muhimu kama hii, kwa sababu zao za kipuuzi.
Kunguni washakimbia mapema baada ya kuchungulia na kuona dhahama ya kipigo cha 5 mfululizoLine up wanatoa ili wafanye nini?
Marefa watakaochezesha hiyo mechi watatokea wapi ikiwa wenye mamlaka na marefa ndio hao wamesema hawataki kuona kunguni yeyote hapo Lupaso?
Mechi yenu ya mwisho na Mc Algier tuliwasikia vilio vyenuChama si mnamuabudu nyinyi mbumbumbu.
Kwenu Chama ni zaidi ya Mungu.
Kuna wakati Chama alikuwa anapigwa benchi makolo mkaja juu na kumuwakia kocha mkitaka acheze mfumo unaomfata Chama.
Yanga hatuna umbumbumbu wa kumuabudu mchezaji.