TFF kumchakaza atakayeshirikiana na Manara

TFF kumchakaza atakayeshirikiana na Manara

Vawulence

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2009
Posts
1,930
Reaction score
2,118
Manara amekuwa akiendelea kuropoka licha ya adhabu anayotumikia. Amekuwa akilalamika kuwa kaonewa licha ya kupewa siku 21 za kukata rufaa. Ushahidi ambao angeutumia kwenye rufaa amekuwa akiusema kwenye press.

Licha ya adhabu bado yupo kwenye denial haamini kama kafungiwa kweli.

Yanga walijitokeza na kusema wanamuunga mkono lakini kwenye press yake hawakumruhusu kutumia nembo ya club kwa hofu ya Rungu kuwaangukia.

Tff wameweka mtego kwa atakayejichanganya kumuunga mkono Manara ili apigwe na kitu kizito sana.

Press ya leo ya Yanga imeitishwa ili kumkana hadharani Manara.
 
Saa 1 asubuhi unamwaza manara ?

Hakika manyonyo mnapelekewa moto na Bugati aisee 😂😂

Tff hawapo juu ya sheria,

Manara tunamsubiri kwa hamu siku ya wananchi tarehe 6 na hamna cha kumfanya, kenge nyie 😁😁😁
 
Hivi kwanini na sisi Simba sc tusiige wenzetu wa utopolo kuitisha Press kila siku? Kama hatuna cha kuongea si tuwaute tu waandishi halafu tuwaambie dhumuni la press ni kutaka kuwasalimia watanzania?
Habar mnama[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Daaah! Haji Manara amekaa wenye vichwa vya watu wengi sana nchi hii
 
Manara amekuwa akiendelea kuropoka licha ya adhabu anayotumikia. Amekuwa akilalamika kuwa kaonewa licha ya kupewa siku 21 za kukata rufaa. Ushahidi ambao angeutumia kwenye rufaa amekuwa akiusema kwenye press.

Licha ya adhabu bado yupo kwenye denial haamini kama kafungiwa kweli.

Yanga walijitokeza na kusema wanamuunga mkono lakini kwenye press yake hawakumruhusu kutumia nembo ya club kwa hofu ya Rungu kuwaangukia.

Tff wameweka mtego kwa atakayejichanganya kumuunga mkono Manara ili apigwe na kitu kizito sana.

Press ya leo ya Yanga imeitishwa ili kumkana hadharani Manara.
Intagram na Facebook tayari zishafungiwa na TFF ?
 
Manara amekuwa akiendelea kuropoka licha ya adhabu anayotumikia. Amekuwa akilalamika kuwa kaonewa licha ya kupewa siku 21 za kukata rufaa. Ushahidi ambao angeutumia kwenye rufaa amekuwa akiusema kwenye press.

Licha ya adhabu bado yupo kwenye denial haamini kama kafungiwa kweli.

Yanga walijitokeza na kusema wanamuunga mkono lakini kwenye press yake hawakumruhusu kutumia nembo ya club kwa hofu ya Rungu kuwaangukia.

Tff wameweka mtego kwa atakayejichanganya kumuunga mkono Manara ili apigwe na kitu kizito sana.

Press ya leo ya Yanga imeitishwa ili kumkana hadharani Manara.
Tuna muomba manara aendelee kutumia logonya club yake pendwa ktkmpress zake ili Tff wapate fedha za fine
 
Back
Top Bottom