Haji Manara ameshiriki kuuwekea taswira mpya mpira wetu Tanzania. Hamasa ya mpira tanzania imekuwa kubwa sana katika kipindi cha Haji. Haji amesababisha watu sasa wanakwenda wengi viwanjani kuangalia football jambo ambalo watu wanafahamu hivyo, serikali inajua, bunge linafahamu, TFF inajua, CECAFA wanafahamu na hata CAF inafahamu mchango wa Haji kwenye football ya Tanzania.
Watu wakijaa uwanjani mapato kwa TFF na wadau wengine yanapanda pia, kumfungia haji ni kupunguza hamasa ya mpira nchini na kujikosesha mapato pia, yaani kujipiga wenyewe risasi ya mguu. Ni kama EU walivyoiwekea vikwazo Russia ambavyo vinawarudia wenyewe. Afrika wanaitambua Tanzania sasa hivi kutokana na hamasa ya mashabiki wetu kuupenda mpira ndani na nje ya uwanja. Haji sio kama watu wengine, tumsamehe tu hata kama hatupendi ila kwa maslahi ya mpira wetu.
Ficha upuuzi wako. HAYA MAJIBU YANGU HAPO CHINI HAYAENDANI KABISA NA UZI WAKO
1. Huyo alishafungiwaga hii sio mara ya kwanza.
2. Hata alipohudumu katika tasnia nyingine alikuwa ana maskendo yake mfano alipotuhumiwa wizi wakati akiwa kada mwenezi waccm dar.
Wakati serikali/ccm inajenga viwanja vikubwa ilijua watanzania wanapeda soka, haikuwahi kumtegemea haji aje avijaze viwanja hivyo.
3. Huyu jamaa yako ameleta chuki kubwa badala ya utani wa jadi mpaka kufikia hatua ya kuwazuia washabiki wa yanga wasiingia kwenye gemu za simba. Uongozi wa simba ukamgomea maana mpira sio chuki bali ni burudani.
4. Huko yanga jamaa amewashika kweli kweli maana aliwadhalilisha sana lakini leo anatumia club yenu kujitafutia ugali kisa rais ana mahaba ya dhati na semalji la hovyo hovyo.
5. Kitendo cha yanga kumkaribisha haji na kumpa nafasi kubwa kwa utopolo ni dharau iliyopitiliza na kuto jitambua kwa mashabiki na viongozi wanaomkumbatia, Najua wapo wachache wanaojielewa ambao hawataki hata kumsikia huyo sope akiwa huko yanga. Waulize Bumbuli na Nugaz
Haji Manara ameshiriki kuuwekea taswira mpya mpira wetu Tanzania. Hamasa ya mpira tanzania imekuwa kubwa sana katika kipindi cha Haji. Haji amesababisha watu sasa wanakwenda wengi viwanjani kuangalia football jambo ambalo watu wanafahamu hivyo, serikali inajua, bunge linafahamu, TFF inajua, CECAFA wanafahamu na hata CAF inafahamu mchango wa Haji kwenye football ya Tanzania.
Watu wakijaa uwanjani mapato kwa TFF na wadau wengine yanapanda pia, kumfungia haji ni kupunguza hamasa ya mpira nchini na kujikosesha mapato pia, yaani kujipiga wenyewe risasi ya mguu. Ni kama EU walivyoiwekea vikwazo Russia ambavyo vinawarudia wenyewe. Afrika wanaitambua Tanzania sasa hivi kutokana na hamasa ya mashabiki wetu kuupenda mpira ndani na nje ya uwanja. Haji sio kama watu wengine, tumsamehe tu hata kama hatupendi ila kwa maslahi ya mpira wetu.
Ficha upuuzi wako. HAYA MAJIBU YANGU HAPO CHINI HAYAENDANI KABISA NA UZI WAKO
1. Huyo alishafungiwaga hii sio mara ya kwanza.
2. Hata alipohudumu katika tasnia nyingine alikuwa ana maskendo yake mfano alipotuhumiwa wizi wakati akiwa kada mwenezi waccm dar.
Wakati serikali/ccm inajenga viwanja vikubwa ilijua watanzania wanapeda soka, haikuwahi kumtegemea haji aje avijaze viwanja hivyo.
3. Huyu jamaa yako ameleta chuki kubwa badala ya utani wa jadi mpaka kufikia hatua ya kuwazuia washabiki wa yanga wasiingia kwenye gemu za simba. Uongozi wa simba ukamgomea maana mpira sio chuki bali ni burudani.
4. Huko yanga jamaa amewashika kweli kweli maana aliwadhalilisha sana lakini leo anatumia club yenu kujitafutia ugali kisa rais ana mahaba ya dhati na semalji la hovyo hovyo.
5. Kitendo cha yanga kumkaribisha haji na kumpa nafasi kubwa kwa utopolo ni dharau iliyopitiliza na kuto jitambua kwa mashabiki na viongozi wanaomkumbatia, Najua wapo wachache wanaojielewa ambao hawataki hata kumsikia huyo sope akiwa huko yanga. Waulize Bumbuli na Nugaz
Sikatai kwamba Haji ana ukichaa wake ndani ya jamii, lakini ni ukichaa wenye faida kwa tasinia husika. Kuna wachezaji vichaa kama Morrison, baloteli, Sureles, pondamali mensa na wengine lakini ukichaa wao hauwaweki kando ya mpira, panga pangua wamo kwenye list. Hata Rais JPM (rip) alikuwa anajiita kichaa, jiwe, dereva wa lori, nk lakini kazi yake ya miaka 5 tu ni ya kupigiwa mfano. Kuna waandishi habari wazuri, wenye afya njema na wenye nidhamu kwa kila mtu lakini hawana impact kwenye mpira wetu, hawana jipya, hawatishi na si chochote. Haji na ukichaa wake unaousema lakini viwanja na TFF ilikuwa inavuna mapesa kwa nyomi ya mashabiki waliohamasika, yaani Haji ni "marking scheme" ya wasemaji wote na wachambuzi wa mpira sio Tanzania tu bali Afrika. Nionyeshe msemaji, mchambuzi au kiongozi wa siasa hapa nchini ambae mwenye wafuasi 4.1M Insta. Wewe ropoka na kupayuka tu kama mwehu. Hebu wewe nenda Mungeni kesho maana leo umeshachelewa uone kama utapigiwa makofi kama aliyopigiwa Haji, unafikiri wale wabunge niwendawazimu? Mtume Jemedari au mwingine aende bungeni ili ulinganishe notes zako.
haji alinikera hata mimi kipindi fulani, lakini ule ni utani pure wa mpira na wala hatujuani na simjui, lakini Hahi ni fundi, hata wewe unakiri kuwa sasa hivi hakuna maajabu tena, ni ile ya leta mzungu leta mzungu sauti inayowafanya watu wasinsie na kusimamisha. Siku ya sherehe ya Yanga ya Mwananchi day, ulijionea mwenyewe Haji alivyoingia na uwanja ukaitika na kuwaacha akina Kitenge wakikenua tu.
Daa!! ombwe (vacuum) linaonekana wazi hata TFF wanalifeel. Anatumia nguvu nyingi sana kuleta watu uwanjani, aende hadi mlandizi kuwatafuta huko, ona kaenda kuwatafuta vichochoroni kama mwanasiasa anaetafuta watu kwenda mkutano wake.
MANARA NI KIBAKA KAMA PANYA ROAD.
UGOMVI WAKE BINAFSI ANAUHAMISHIA YANGA NA INJINIA WA MCHONGO HERSI ANAMTETEA
IPO SIKU YANGA WASIPOMPA POSHO ATAWANYEA KAMA ALIMNYEA MODEWJI.
MANARA NI KIBAKA KAMA PANYA ROAD.
UGOMVI WAKE BINAFSI ANAUHAMISHIA YANGA NA INJINIA WA MCHONGO HERSI ANAMTETEA
IPO SIKU YANGA WASIPOMPA POSHO ATAWANYEA KAMA ALIMNYEA MODEWJI.
Nani anakubali asipewe posho yake? Dar hakuna mashamba atakula nini, atavaa nini, na pa kulala atalipa na nini? Duniani kote usipompa mtu posho yake atafanya kati ya haya:ataacha kazi, atachukia, atalia, atakuroga, atakupiga, atakuletea familia yake nyumbani kwake au atakushitaki. wewe ulitaka manara akenue tu akinyimwa posho yake?
Sikatai kwamba Haji ana ukichaa wake ndani ya jamii, lakini ni ukichaa wenye faida kwa tasinia husika. Kuna wachezaji vichaa kama Morrison, baloteli, Sureles, pondamali mensa na wengine lakini ukichaa wao hauwaweki kando ya mpira, panga pangua wamo kwenye list. Hata Rais JPM (rip) alikuwa anajiita kichaa, jiwe, dereva wa lori, nk lakini kazi yake ya miaka 5 tu ni ya kupigiwa mfano. Kuna waandishi habari wazuri, wenye afya njema na wenye nidhamu kwa kila mtu lakini hawana impact kwenye mpira wetu, hawana jipya, hawatishi na si chochote. Haji na ukichaa wake unaousema lakini viwanja na TFF ilikuwa inavuna mapesa kwa nyomi ya mashabiki waliohamasika, yaani Haji ni "marking scheme" ya wasemaji wote na wachambuzi wa mpira sio Tanzania tu bali Afrika. Nionyeshe msemaji, mchambuzi au kiongozi wa siasa hapa nchini ambae mwenye wafuasi 4.1M Insta. Wewe ropoka na kupayuka tu kama mwehu. Hebu wewe nenda Mungeni kesho maana leo umeshachelewa uone kama utapigiwa makofi kama aliyopigiwa Haji, unafikiri wale wabunge niwendawazimu? Mtume Jemedari au mwingine aende bungeni ili ulinganishe notes zako.
haji alinikera hata mimi kipindi fulani, lakini ule ni utani pure wa mpira na wala hatujuani na simjui, lakini Hahi ni fundi, hata wewe unakiri kuwa sasa hivi hakuna maajabu tena, ni ile ya leta mzungu leta mzungu sauti inayowafanya watu wasinsie na kusimamisha. Siku ya sherehe ya Yanga ya Mwananchi day, ulijionea mwenyewe Haji alivyoingia na uwanja ukaitika na kuwaacha akina Kitenge wakikenua tu.