Msomali mwenyewe CCM DAMU. si ulisikia alisema hataki u-TUNDU LISSU???Hivi TFF hawajang'amua tu madhara ya kauli ya Makonda kwamba Taifa stars ni mali ya CCM? Hivi CCM ndo Tanzania? Kwahiyo wale ambao ni watanzania na sio wana CCM, Taifa stars sio ya kwao??
TFF kukaa kimya means wameunga mkono hiyo kauli au vipi?
Bado safari ni ndefu......
Halafu kwenye kile kikao cha matusi ya makonda kwa watanzania yule Manara alikuwa pale kama nani ?Karia ajitokeze aliweke hili sawa, vinginevyo watu wataripoti FIFA Kuwa timu hii wanayoitambua kama ya Taifa sivyo bali ni ya Chama kilicho madarakani kwa hila na kulingana na kanuni za FIFA nchi inaweza kufungiwa kushiriki.
watatukanyaga tuuu# CCM mpyaBado Algeria
Wamjibu wanajipenda? hata Waziri mwenye dhamana hana uwezo huo.Hivi TFF hawajang'amua tu madhara ya kauli ya Makonda kwamba Taifa stars ni mali ya CCM? Hivi CCM ndo Tanzania? Kwahiyo wale ambao ni watanzania na sio wana CCM, Taifa stars sio ya kwao??
TFF kukaa kimya means wameunga mkono hiyo kauli au vipi?
Bado safari ni ndefu......
basi taifa stars ikabidhiwe kwa PolePoleTaifa stars ni mali ya waTanzania... inahudumiwa na serikali, kwa kupitia kodi zetu, serikali iliyopo madarakani kwa saaa ni serikali ya CCM...
Automatically hata wewe mleta mada utafuruka weee ila mwisho wa siku nawe ni mali ya CCM...
Cc: mahondaw
Karia ajitokeze aliweke hili sawa, vinginevyo watu wataripoti FIFA Kuwa timu hii wanayoitambua kama ya Taifa sivyo bali ni ya Chama kilicho madarakani kwa hila na kulingana na kanuni za FIFA nchi inaweza kufungiwa kushiriki.
Taifa stars ni mali ya waTanzania... inahudumiwa na serikali, kwa kupitia kodi zetu, serikali iliyopo madarakani kwa saaa ni serikali ya CCM...
Automatically hata wewe mleta mada utafuruka weee ila mwisho wa siku nawe ni mali ya CCM...
Cc: mahondaw
Kama mwakilishi wa Amber Rutty nadhaniHalafu kwenye kile kikao cha matusi ya makonda kwa watanzania yule Manara alikuwa pale kama nani ?
FIFA WAKIBAINI HILO Mnapigwa makufuli!! maana FIFA na siasa mbalimbaliHivi TFF hawajang'amua tu madhara ya kauli ya Makonda kwamba Taifa stars ni mali ya CCM? Hivi CCM ndo Tanzania? Kwahiyo wale ambao ni watanzania na sio wana CCM, Taifa stars sio ya kwao??
TFF kukaa kimya means wameunga mkono hiyo kauli au vipi?
Bado safari ni ndefu......
Unahitaji kupimwa wewe!Taifa stars ni mali ya waTanzania... inahudumiwa na serikali, kwa kupitia kodi zetu, serikali iliyopo madarakani kwa sasa ni serikali ya CCM...
Automatically hata wewe mleta mada utafurukuta weee ila mwisho wa siku nawe ni mali ya CCM...
Cc: mahondaw
Hapo sijui Makonda anaongoza maombi kwa Mungu au Lucifer?
Karia mwenyewe Kada unataka yamkute makubwa kama yakina malinzi?Karia ajitokeze aliweke hili sawa, vinginevyo watu wataripoti FIFA Kuwa timu hii wanayoitambua kama ya Taifa sivyo bali ni ya Chama kilicho madarakani kwa hila na kulingana na kanuni za FIFA nchi inaweza kufungiwa kushiriki.