Mimi nipo na castle lager bariiiiiiiidiiiiiiii
2020 hao tifuatifua watakuwepo kila kituo cha kupigia kura?safi sana TFF kwa kutekeleza matakwa ya mabwana zenu
Safi sana MmawiaMimi nipo na castle lager bariiiiiiiidiiiiiiii
Mkuu zinapatikana wapi hizo nami kesho nitinge na kuingia nao taifa?
Malinzi ameshindwa kabisa kuongoza mpira. TZ imeporomoka nafasi ya 81 mpaka 158 dunianiTFF pumba tupu
wanajichanganya tu mkuu, bila shaka ni agizo la konda2020 hao tifuatifua watakuwepo kila kituo cha kupigia kura?
Tanzania ya vi-wonderNa kila mwaka hii kitu lazima ipigwe kodi kubwaView attachment 471544
Wataisoma namba na huyo madereva waowanajichanganya tu mkuu, bila shaka ni agizo la konda
MubasharaWataisoma namba na huyo madereva wao
Hamna kitu nyie ili kuonyesha mpo serious anzeni kubadili rangi ya jezi zenu itofautiane na rangi zao hapo sasa tutaanza kusubiri hasira zenu lkn kwa kuwa mnavaa nguo zinafanana ni walewale tuuWasubiri uchaguzi ufike ndio watazifamu hasira za wana yanga madereva atajuta
Hayo ni mawazo yako na tunayaheshimuHamna kitu nyie ili kuonyesha mpo serious anzeni kubadili rangi ya jezi zenu itofautiane na rangi zao hapo sasa tutaanza kusubiri hasira zenu lkn kwa kuwa mnavaa nguo zinafanana ni walewale tuu
wamejishtukiaKwani nani kawaambia tutabeba mabango? Waache kujishtukia.