TFF kuzindua jezi mpya za Timu za Taifa

TFF kuzindua jezi mpya za Timu za Taifa

Dotto Mnzava

R I P
Joined
Mar 6, 2014
Posts
864
Reaction score
427
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF, kesho jumatano linatarajia kuzindua jezi mpya za timu za Taifa Tanzania, zitakazokuwa zikitumika katika michuano mbalimbali, uzinduzi huo utakafanyika katika hoteli ya JB Belmonte (PSPF) iliyopo eneo la Posta jijini Dar es salaam.

Katika hafla hiyo, TFF itawatunukia vyeti viongozi mbalimbali waliotoa mchango katika mpira wa miguu, wadhamini, wahamashisashaji pamoja na wachezaji waliochezea Taifa Stars ikiwa ni maadhimisho ya miaka 50 tangu Tanzania kujiunga na Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA).

WATUNUKIWA WA VYETI VYA KUMBUKUMBU YA MAADHIMISHO YA MIAKA 50, TANZANIA KUJIUNGA NA FIFA.

VIONGOZI WA KITAIFA:
1. Rais Msataafu Mwl. Julius K Nyerere
2. Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi
3. Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa
4. Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete
5. Rais Mstaafu Abeid Amani Karume
6. Rais Mstaafu Amani Abeid Karume
7.Rais Mstaafu Abdul Wakili
8. Rais Mstaafu Abdu Jumbe
9. Rais Dk. Salmin Amour
10. Rais Dk. Mohamed Shein

WENYEVITI/MARAIS FAT/TFF
11.Balozi Maggid
12. Mzee Ali Chambuso
13. Said Hamad El Maamry
14. Alhaj Muhidin Ahmad Ndolanga
15. Leodgar Chilla Tenga

MAKATIBU WAKUU
16. Said Hassan
17. Abdallah Mpolaki
18. Kitwana Ibrahim
19. Martin Maude
20. Meshack Maganga
21. Col. Yunus Abdallah
22. Patrick Songora
23. Ali Mwanakatwe
24. Ismail Aden Rage
25. Angetile Osiah
26. Michael Wambura
27. Fredrick Mwakalebela

MAKOCHA
28. Mansour Magram
29. Paul West Gwivaha
30. Joel Nkaya Bendera
31. Don Korosso
32. Mohamed Msomali
33. Shaban Marijani
34. Hamis Kilomoni
35. Syllersaid Mziray

WAAMUZI
36. Gratian Matovu
37. Kassim Chona
38. Zuberi Bundala
39. Mohamed Nyama
40. Mussa Lyaunga
41. Ramadhani Mwinyikonda
42. Ramadhani Kaabuka
43. Joseph Mapunda
44. Dunstan Daffa
45. Said Almasi
46. Abdul Rasul Ismail

WACHEZAJI
47. Mohamed Chuma
48. Kitwana Manara
49. Miraji Juma
50. Dracula
51. Mathias Kissa
52. Hamis Fikirini
53. Emily Kondo
54. Abdulrahman Lukongo
55. Hemedi Seif
56. Abdul Aziz
57. Mbwana Abushir
58. Sembwana
59. Mweri Simba
60. Omar Zimbwe
61. Arthur Mwambeta
62. Ayoub Mohamed
63. John Lyimo
64. Mohamed Mwabuda

TIMU YA TAIFA 1979-1980 ILIYOENDA NIGERIA
65. Leodgar Tenga (Nahodha)
66. Athuman Mambosasa
67. Idd Pazi
68. Juma Pondamali
69. Leopold Mukebezi
70. Ahmed Amasha
71. Ramadhani Nyamwela
72. Mohamed Kajole
73. Salim Amir
74. Jella Mtegwa
75. Mtemi Ramadhani
76. Adolf Rishard
77. Hussein Ngulungu
78. Juma Mkambi
79. Omari Hussein
80. Thuweni Ally
81. Mohamed Salim
82. Peter Tino
83. Rashid Chama
84. Slomir Wolk (Kocha Mkuu)
85. Joel Bendera (Kocha Msaidizi)
86. Dk. Katala (Daktari wa timu)
87. Mzee Mwinyi (Meneja)
88. Willy Kiango
89. Daud Salum
90. Stanford Nkondora (Mkuu wa Msafara)

MAWAZIRI WA MICHEZO
91. Mrisho Sarakikya
92. Chadiel Mgonja
93. Fatma Said Ally
94. Prof. Phillemon Sarungi
95. Prof. Juma Kapuya
96. Mohamed Seif Khatib
97. Dk. Emmanue Nchimbi

VIONGOZI WA BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA (BMT)
98. Said Hamad El Maamry
99. Balozi Maggid
100. Moses Mnauye
101. Makame Rashid

MAKATIBU BMT
102. Salum Dossi
103. Mohamed Lutta
104. Ernest Mlinda
105. Leonard Thadeo

WAKURUGENZI WA MICHEZO SERIKALINI
106. Khalifa Abdallah
107. Chabanga Hassan Dyamwale
108. Joas Nkongo
109. Flavian Kipanga
110. Henry Ramadhani
111. Leonard Thadeo
112. Jenerali Ulimwengu

WADHAMINI
113. TBL
114. VODACOM
115. SERENGETI BREWERIES
116. NMB
117. AZAM
118. BAHATI NASIBU YA TAIFA
119. AIRTEL
120. BANK ABC
121. COCA COLA
122. NSSF
123. AZAM MEDIA
124. BARRICK GOLD MINE
125. AIR TANZANIA
126. TANZANIA RAILWAY CORPORATION
127. SYMBION
128. TANZANIA TOBACCO BOARD
129. TANZANIA COFFEE BOARD
130. TANZANIA SISAL BOARD
131. TANZANIA HARBOU AUTHORITY
132. BIMA
133. UHAMIAJI
134. BORA
135. URAFIKI
136. TACOSHILL

WATANGAZAJI WA MPIRA
137. Omar Masoud Jarawa
138. Salim Seif Mkamba
139. Ahmed Jongo
140. Nadhir Mayoka
141. Halima Mchuka
142. Idd Rashid Mchatta
143. Charles Hilary
144. Dominic Chilambo
145. Tido Mhando
146. Abdul Ngalawa
147. Mikidad Mohamoud
148. Abdallah Majura

WAANDISHI WA HABARI ZA MICHEZO
149. Tommy Shitole
150. Willie Chiwango
151. Steven Rweikiza
152. Muhidin Issa Michuzi
153. John Ngahyoma
154. Mwalimu Omar
155. James Nhende

WAHAMASISHAJI WA TIMU YA TAIFA
156. JKT Mafinga Kimulimuli
157. Mbaraka Mwinshehe

MABINGWA WA LIGI
158. Cosmopolitan
159. Simba Sports Club
160. Young Africans Sports Club
161. Mseto
162. Pan African
163. Tukuyu Stars
164. Coastal Union
165. Mtibwa Sugar Football Club
166. Azam Football Club

WAWAKILISHI WA MUUNGANO
167. Malindi FC
168. Tanzania Stars
169. Pamba FC
170. Reli Morogoro
171. African Sports
172. Tanzania Prisons
173. Simba Sports Club
174. Young Africans Sports Club

VIONGOZI WA VILABU
175. Shaban Mwakayungwa
176. Tabu Mangara
177. Kondo Kipwata
178. Jabir Katundu
179. Amiri Ali Bamchawi
180. Juma Salud
181. David Ngonya
182. Priva Mtema
183. Mama Fatma Karume
184. Ramnik Patel Kaka
185. Aboubakar Mgumia
186. Kitwana Kondo
187. Kitwana Athuman
188. Abdulwahab Abbas Maziwa
189. Ally Sykes (Kleist Sykes)

VIONGOZI WALIOJENGA VIWANJA
190. Richard Wambura
191. Lawrence Gama
192. Abdulnur Suleiman
193. Sheikh Amri Abeid
194. Mohamed Kissoky

IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
Best Regards,
Baraka Kizuguto
MEDIA & COMMUNICATION OFFICER
Tanzania Football Federation - TFF
 
Hapo no. 50 kuna mchezaji anaitwa Dracula.. Inaonekana alikua hatari sana kama jina lake.. Mwenye taarifa zake anipatie, maana hilo jina limenitisha.
 
Ujinga huu ...do we need this?

Hivi huyu Jamal Malinzi ana akili au matope?

Basi tu
 
Last edited by a moderator:
Ujinga huu ...do we need this?

Hivi huyu Jamal Malinzi ana akili au matope?

Basi tu

Nadhani uchaguzi mkuu wa TFF umekalibia, ndo maana "Boss" Malinzi anajaribu kuwa karibu na "wadau" wa michezo.. ili mtanange ukianza wasimtupe. Jamal Malinzi yupo strategic sana, i salute him.
 
Last edited by a moderator:
Nadhani uchaguzi mkuu wa TFF umekalibia, ndo maana "Boss" Malinzi anajaribu kuwa karibu na "wadau" wa michezo.. ili mtanange ukianza wasimtupe. Jamal Malinzi yupo strategic sana, i salute him.

Amefanya nini kwenye mpira?

Hapa anachofanya ni Ku justify ulaji wa pesa
 
Jezi za Taifa kampuni gani imetengeneza?,Addidas,Nike,Puma?..au wachina?..
 
Amefanya nini kwenye mpira?

Hapa anachofanya ni Ku justify ulaji wa pesa

Honestly tangu alipoingia kila alichojaribu kugusa kimefail.. tiketi za electronic, kocha mpya, taifa star maboresho, kuhamia ofisi mpya post, ligi ya timu za vijana za timu znazoshiriki ligi kuu, michuano ya taifa cup aliyosema ataanzisha n.k yote yamefail vibaya sana.. maybe michuano ya vijana 2017 ndo atafaulu.

Nacho msalute ni kitendo chake cha kuwaita wadau kua awape tuzo.. kumbe anatafuta suport kubwa kwa ajili ya uchaguzi ujao kiaina.
 
Nacho msalute ni kitendo chake cha kuwaita wadau kua awape tuzo.. kumbe anatafuta suport kubwa kwa ajili ya uchaguzi ujao kiaina.

Kwa maoni yangu huyu binadamu hafai hata kwa tone

Tumekosea sana

Hio 2017 haitakuwa na maana kama sisi kimpira tuko doro

Ndio maana kila siku nasema Tenga was the right person kwa mpira wetu pamoja na mapungufu yake machache
 
Jezi tena, huyu jamaa ana matatizo unatoa vyeti vya tunu sijui FIFA ushenzi gani wakati huko kwny FIFA hatujawahi kufanya miujiza yyt, unasherekea miaka 50 kwa mafanikio gan ya soka letu
 
kwani haiwezekani kuwaajiri watu kutoka nje ya nchi waje kutufanyia kazi??.. maana naona kila idara sasa ni vituko vya aina yake...
 
mwambieni kuwa yule jamaa kashajiuzuru bado yeye sasa
 
Usanii jazz,kwa mafanikio gani ya soka tuliyopata mpaka hao wote wapate tuzo! Kuna kipindi FAT ilikuwa ya hovyo kupindukia leo waliosababisha hayo yote wanapewa tuzo!
 
Back
Top Bottom