TFF kwa hili la tuzo hebu oneni aibu hata kidogo

TFF kwa hili la tuzo hebu oneni aibu hata kidogo

Kichuchunge

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2020
Posts
384
Reaction score
970
TFF hebu oneni aibu basi, inakuwaje Tuzo za ligi ya msimu huu zikafanyike mwanzo wa msimu mwingine?

Hili linashangaza sana maana mmeamua kuvunja hata kanuni yenu wenyewe kwa sababu Kanuni ya 11 inayozungumzia Vikombe na Tuzo, kifungu cha (11) kinasema; Sherehe za tuzo zitafanyika ndani ya muda usiozidi siku tatu (3) baada ya kumalizika kwa mchezo wa mwisho wa Kombe la Shirikisho.

Maana yake mara tu baada ya mechi ya fainali ya FA Zanzibar, zilitakiwa zisizidi siku tatu sherehe za tuzo zifanyike, sasa nyie mmeamua tu kuivunja kanuni hiyo ili kuvuruga mambo kwa kuwa tuzo zitakapofanyika wakati wa Ngao ya Jamii msimu ujao, kuna wachezaji watakuwa wamepewa 'Thank you, wengine hawatakuwepo kabisa hapa nchini na wengine mfano wanaweza kutajwa fulani ni kipa bora kutoka Azam FC kumbe wakati huo labda atakuwa amehamia Simba. Sasa mtamtaja kama kipa bora kutoka Azam au Simba?

Haipendezi, haipendezi kabisaaa.
Mlianza kufanya mambo kivyenu vyenu kwa kuanzisha Ngao ya Jamii ya timu nne, jambo ambalo halipo popote ulimwenguni, tukawasamehe.

Mkaleta siasa za kuhamishia fainali ya michuano ya FA ya Tanzania Bara, visiwani Zanzibar ambako ni kama nchi nyingine kwa kuwa na wao ni wanachama wa CAF na wana mashindano yao ya ligi na FA pia, tukawakaushia pia, sasa na hili la tuzo, hapana.
66496518.jpg
 
Kukosea kupo.
Hawajapata washauri wazuri
 
Wanasema sababu nikufanya tukio kua bora zaidi.ina maana hawa watu mwaka mzima hawakujua mwisho wa msimu kuna hilo tukio.Majuzi walibadilisha uwanja wa fainal ya crdb.Ina maana walikaa mwaka mzima uku hawana uhakika wa uwanja wa fainali ya kombe la crdb uko kwenye hali gani hadi wakatangazia watu badae ndo wanakuja na maigizo yakubadilisha uwanja.Kwa haya mawili inaonyesha hawakua na maandalizi.Mwaka mzima ni mrefu sana kwakuandaa tukio la siku moja.Hiyo inaonyesha hilo eneo liko na mashida au blah blah zakisiasa zimeashaingia.
 
Wanasema sababu nikufanya tukio kua bora zaidi.ina maana hawa watu mwaka mzima hawakujua mwisho wa msimu kuna hilo tukio.Majuzi walibadilisha uwanja wa fainal ya crdb.Ina maana walikaa mwaka mzima uku hawana uhakika wa uwanja wa fainali ya kombe la crdb uko kwenye hali gani hadi wakatangazia watu badae ndo wanakuja na maigizo yakubadilisha uwanja.Kwa haya mawili inaonyesha hawakua na maandalizi.Mwaka mzima ni mrefu sana kwakuandaa tukio la siku moja.Hiyo inaonyesha hilo eneo liko na mashida au blah blah zakisiasa zimeashaingia.
Mambo ya Kizimkazi
 
TFF hebu oneni aibu basi, inakuwaje Tuzo za ligi ya msimu huu zikafanyike mwanzo wa msimu mwingine?

Hili linashangaza sana maana mmeamua kuvunja hata kanuni yenu wenyewe kwa sababu Kanuni ya 11 inayozungumzia Vikombe na Tuzo, kifungu cha (11) kinasema; Sherehe za tuzo zitafanyika ndani ya muda usiozidi siku tatu (3) baada ya kumalizika kwa mchezo wa mwisho wa Kombe la Shirikisho.

Maana yake mara tu baada ya mechi ya fainali ya FA Zanzibar, zilitakiwa zisizidi siku tatu sherehe za tuzo zifanyike, sasa nyie mmeamua tu kuivunja kanuni hiyo ili kuvuruga mambo kwa kuwa tuzo zitakapofanyika wakati wa Ngao ya Jamii msimu ujao, kuna wachezaji watakuwa wamepewa 'Thank you, wengine hawatakuwepo kabisa hapa nchini na wengine mfano wanaweza kutajwa fulani ni kipa bora kutoka Azam FC kumbe wakati huo labda atakuwa amehamia Simba. Sasa mtamtaja kama kipa bora kutoka Azam au Simba?

Haipendezi, haipendezi kabisaaa.
Mlianza kufanya mambo kivyenu vyenu kwa kuanzisha Ngao ya Jamii ya timu nne, jambo ambalo halipo popote ulimwenguni, tukawasamehe.

Mkaleta siasa za kuhamishia fainali ya michuano ya FA ya Tanzania Bara, visiwani Zanzibar ambako ni kama nchi nyingine kwa kuwa na wao ni wanachama wa CAF na wana mashindano yao ya ligi na FA pia, tukawakaushia pia, sasa na hili la tuzo, hapana.
View attachment 3002804 Aliyezoea kutembea uchi, hawezi ona aibu kutembea na nguo iliyotoboka makalioni!
 
Haya ndiyo madhara ya kufikiri kwa kutumia matumbo, badala ya ubongo.
 
Kukosea kupo.
Hawajapata washauri wazuri
Kuna mambo hata watoto wa darasa la pili hawezi kufanya, juzi tu wametoka kufanya kosa la kupeleka mechi uwanja ambao haukidhi vigezo baadae wakakosea tena kupeleka nje ya mipaka ya mamlaka yao bado halija isha hilo wamekuja na boko jingine la tuzo
 
TFF tangu wajue mambo yao serikali hayapaswi ingilia wamekuwa wana mambo ya ajabu sana, ukiuliza sababu nini au nani akashauri hawana majibu zaidi ya uhuni uhuni tu watu wamelalamika finalise kupelekwa zanzibar wamekunja shingo yani wanajipendekeza kwa mh Rais kisa anatoka zanzibar
 
Sasa mchezaji akihama timu akaenda nje ya tz tuzo yake ndo atatumiwa huko huko au
TFF uwezo wa kufikiri Ndiyo imefika hapo lakini nadhani ni Wajibi wa vilabu vya mpira Tanzania kulikataa wazo hili la kijinga na hili limeonyesha kwamba maamuzi mengi yanafanywa hivyo ila hili limezidi, kumbe wanahitaji remote control
 
Sasa mchezaji akihama timu akaenda nje ya tz tuzo yake ndo atatumiwa huko huko au

Wanasema sababu nikufanya tukio kua bora zaidi.ina maana hawa watu mwaka mzima hawakujua mwisho wa msimu kuna hilo tukio.Majuzi walibadilisha uwanja wa fainal ya crdb.Ina maana walikaa mwaka mzima uku hawana uhakika wa uwanja wa fainali ya kombe la crdb uko kwenye hali gani hadi wakatangazia watu badae ndo wanakuja na maigizo yakubadilisha uwanja.Kwa haya mawili inaonyesha hawakua na maandalizi.Mwaka mzima ni mrefu sana kwakuandaa tukio la siku moja.Hiyo inaonyesha hilo eneo liko na mashida au blah blah zakisiasa zimeashaingia.
Wameahirisha kufikiri lengo la hayo Mataji nini, lengo mojawapo la hayo ni motivation,(hamasa) kwa wachezaji unamuhamasisha mchezaji ambaye ameenda kucheza nchi nyingi ambako hili tukio halipo pia hizo tuzo zinatakiwa zimuongezee CV mchezaji km MV P Hawa TFF wanawivu sana hawatufai
 
TFF hebu oneni aibu basi, inakuwaje Tuzo za ligi ya msimu huu zikafanyike mwanzo wa msimu mwingine?

Hili linashangaza sana maana mmeamua kuvunja hata kanuni yenu wenyewe kwa sababu Kanuni ya 11 inayozungumzia Vikombe na Tuzo, kifungu cha (11) kinasema; Sherehe za tuzo zitafanyika ndani ya muda usiozidi siku tatu (3) baada ya kumalizika kwa mchezo wa mwisho wa Kombe la Shirikisho.

Maana yake mara tu baada ya mechi ya fainali ya FA Zanzibar, zilitakiwa zisizidi siku tatu sherehe za tuzo zifanyike, sasa nyie mmeamua tu kuivunja kanuni hiyo ili kuvuruga mambo kwa kuwa tuzo zitakapofanyika wakati wa Ngao ya Jamii msimu ujao, kuna wachezaji watakuwa wamepewa 'Thank you, wengine hawatakuwepo kabisa hapa nchini na wengine mfano wanaweza kutajwa fulani ni kipa bora kutoka Azam FC kumbe wakati huo labda atakuwa amehamia Simba. Sasa mtamtaja kama kipa bora kutoka Azam au Simba?

Haipendezi, haipendezi kabisaaa.
Mlianza kufanya mambo kivyenu vyenu kwa kuanzisha Ngao ya Jamii ya timu nne, jambo ambalo halipo popote ulimwenguni, tukawasamehe.

Mkaleta siasa za kuhamishia fainali ya michuano ya FA ya Tanzania Bara, visiwani Zanzibar ambako ni kama nchi nyingine kwa kuwa na wao ni wanachama wa CAF na wana mashindano yao ya ligi na FA pia, tukawakaushia pia, sasa na hili la tuzo, hapana.
View attachment 3002804

Tuzo zitolewe kabla msimu mpya haujaanza. Kama TFF hawana hela za kuendana na tuzo hizo basi ni afadhali watoe vikombe tu halafu hundi zitafuata baadaye. Kusubiri hadi msimu ujao kutazifanya tuzo zikose mvuto kabisa kwani zinaweza kukuta baadhi ya nominees wameshahamia ligi nyingine.
 
TFF hebu oneni aibu basi, inakuwaje Tuzo za ligi ya msimu huu zikafanyike mwanzo wa msimu mwingine?

Hili linashangaza sana maana mmeamua kuvunja hata kanuni yenu wenyewe kwa sababu Kanuni ya 11 inayozungumzia Vikombe na Tuzo, kifungu cha (11) kinasema; Sherehe za tuzo zitafanyika ndani ya muda usiozidi siku tatu (3) baada ya kumalizika kwa mchezo wa mwisho wa Kombe la Shirikisho.

Maana yake mara tu baada ya mechi ya fainali ya FA Zanzibar, zilitakiwa zisizidi siku tatu sherehe za tuzo zifanyike, sasa nyie mmeamua tu kuivunja kanuni hiyo ili kuvuruga mambo kwa kuwa tuzo zitakapofanyika wakati wa Ngao ya Jamii msimu ujao, kuna wachezaji watakuwa wamepewa 'Thank you, wengine hawatakuwepo kabisa hapa nchini na wengine mfano wanaweza kutajwa fulani ni kipa bora kutoka Azam FC kumbe wakati huo labda atakuwa amehamia Simba. Sasa mtamtaja kama kipa bora kutoka Azam au Simba?

Haipendezi, haipendezi kabisaaa.
Mlianza kufanya mambo kivyenu vyenu kwa kuanzisha Ngao ya Jamii ya timu nne, jambo ambalo halipo popote ulimwenguni, tukawasamehe.

Mkaleta siasa za kuhamishia fainali ya michuano ya FA ya Tanzania Bara, visiwani Zanzibar ambako ni kama nchi nyingine kwa kuwa na wao ni wanachama wa CAF na wana mashindano yao ya ligi na FA pia, tukawakaushia pia, sasa na hili la tuzo, hapana.
View attachment 3002804
Hapa wamezingua.
Watoe tuzo hizo sasa kabla watu hawajenda kwingine.
 
Back
Top Bottom